I declare my interest mimi ni mwana CDM, nashangaa sana kuona tunafurahia kupata wanachama wengi lakini hatujali kuimarisha infrastructure zikiwemo ofisi. Tutawezaje kusema tumejiandaa kushika dola kama hadi sasa hatuna ofisi hata za wilaya?, na tunawezaje kuwalea wanachama wapya wanaoingia?Hivi kumbe bado hakuna ofisi ya wilaya ya chama letu. Mnyika na wengine fanyeni fasta jamani. Hongereni sana wana SAME Murungu amgenje Nguvu ya Vantu itisha sana. VIVA CHADEMA
sioni ubaya wa post yake...nathani ameweka msisitizo ili Dr Slaa aione hii post! of which is a great idea...Mkuu huoni ni busara kuwasiliana na hao viongozi wako kwa taratibu za kiofisi, na kwa njia zinazokubalika kama nawe ni muhusika huko Same
Nafikiri Same nayo ipo Kilimanjaro kama sijakosea
hapana ipo uchagani na mbunge wao ni mbowe..nafikiri ndo unatamani iwe hivi we ccmizi!Nafikiri Same nayo ipo Kilimanjaro kama sijakosea
Viongoz wa CHADEMA Taifa Tunaomba mikutano ya ufunguzi wa ofsi Wilaya ya Same Kata ya Makanya, suji, Chome na Gavaosaweni kwani tunazo ofisi za Kata ambazo zipo tayari tangu mwez wa 1 ilabado hazijafunguliwa rasmi. Ikumbukwe kuwa kata ya makanya inayo madini ya jasi ambayo muda mrefu yamechimbwa bila kuunufaisha uma wa makanya, tunao udongo mwekundu ambao unasafirishwa kwenda kenya, liposhamba la mkonge na migogoro mingi ya ardhi. Tunaomba mje mapema mwezi huu kufungua ofisi zetu na matawi zaidi ya 30 kwani ni aibu tangu mwez wa 1 hakuna ufunguz rasmi. Kwasasa tunafanya mikutano ya kuchagua mabaloz na viongozi wa matawi ila hatuna vifaa kabisa yaan bendera, kadi na miongozoTuwasiliane 0788177315
Nafikiri Same nayo ipo Kilimanjaro kama sijakosea
Zanzibar ni koloni la tanganyika. Mzanzibar shiriki katika harakati za kudai uhuru wa zanzibar - 2012.
Nafikiri Same nayo ipo Kilimanjaro kama sijakosea
But mpaka sasa ni ngome ya magamba si unakumbuka Anna kilango, Daniel Yona wote ni magamba wa Same sasa kama wanataka ukombozi safi sana
Viongoz wa CHADEMA Taifa Tunaomba mikutano ya ufunguzi wa ofsi Wilaya ya Same Kata ya Makanya, suji, Chome na Gavaosaweni kwani tunazo ofisi za Kata ambazo zipo tayari tangu mwez wa 1 ilabado hazijafunguliwa rasmi. Ikumbukwe kuwa kata ya makanya inayo madini ya jasi ambayo muda mrefu yamechimbwa bila kuunufaisha uma wa makanya, tunao udongo mwekundu ambao unasafirishwa kwenda kenya, liposhamba la mkonge na migogoro mingi ya ardhi. Tunaomba mje mapema mwezi huu kufungua ofisi zetu na matawi zaidi ya 30 kwani ni aibu tangu mwez wa 1 hakuna ufunguz rasmi. Kwasasa tunafanya mikutano ya kuchagua mabaloz na viongozi wa matawi ila hatuna vifaa kabisa yaan bendera, kadi na miongozoTuwasiliane 0788177315
Nafikiri Same nayo ipo Kilimanjaro kama sijakosea
Sengrema nayo ipo kilimanjaro mkuuNafikiri Same nayo ipo Kilimanjaro kama sijakosea
Kuna watu wanakideri kikali.Zanzibar ni koloni la tanganyika. Mzanzibar shiriki katika harakati za kudai uhuru wa zanzibar - 2012.
Mkeo na wanao wote wanakucheka, wamepata kadi. kawaulize.
nafikiri same nayo ipo kilimanjaro kama sijakosea
Viongoz wa CHADEMA Taifa Tunaomba mikutano ya ufunguzi wa ofsi Wilaya ya Same Kata ya Makanya, suji, Chome na Gavaosaweni kwani tunazo ofisi za Kata ambazo zipo tayari tangu mwez wa 1 ilabado hazijafunguliwa rasmi. Ikumbukwe kuwa kata ya makanya inayo madini ya jasi ambayo muda mrefu yamechimbwa bila kuunufaisha uma wa makanya, tunao udongo mwekundu ambao unasafirishwa kwenda kenya, liposhamba la mkonge na migogoro mingi ya ardhi. Tunaomba mje mapema mwezi huu kufungua ofisi zetu na matawi zaidi ya 30 kwani ni aibu tangu mwez wa 1 hakuna ufunguz rasmi. Kwasasa tunafanya mikutano ya kuchagua mabaloz na viongozi wa matawi ila hatuna vifaa kabisa yaan bendera, kadi na miongozoTuwasiliane 0788177315
Viongoz wa CHADEMA Taifa Tunaomba mikutano ya ufunguzi wa ofsi Wilaya ya Same Kata ya Makanya, suji, Chome na Gavaosaweni kwani tunazo ofisi za Kata ambazo zipo tayari tangu mwez wa 1 ilabado hazijafunguliwa rasmi. Ikumbukwe kuwa kata ya makanya inayo madini ya jasi ambayo muda mrefu yamechimbwa bila kuunufaisha uma wa makanya, tunao udongo mwekundu ambao unasafirishwa kwenda kenya, liposhamba la mkonge na migogoro mingi ya ardhi. Tunaomba mje mapema mwezi huu kufungua ofisi zetu na matawi zaidi ya 30 kwani ni aibu tangu mwez wa 1 hakuna ufunguz rasmi. Kwasasa tunafanya mikutano ya kuchagua mabaloz na viongozi wa matawi ila hatuna vifaa kabisa yaan bendera, kadi na miongozoTuwasiliane 0788177315