MWANALUGALI
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 601
- 34
Mkoa wa Kilimanjaro sasa utakombolewa na maombi ya wanamagamba yatakuwa yametimia!! Mikoa ya kaskazini yote kuwa chini ya CHADEMA si dhambi, dhambi itakuwa kushindwa kukomboa mikoa yote ya Tanzania kutoka mikononi mwa Mafisadi!!!