Viongozi na wanachama wa CCM Zaidi ya 3680 wanasubiri Kadi za CHADEMA wilaya ya Same

simon james

JF-Expert Member
Apr 1, 2012
283
140
Viongoz wa CHADEMA Taifa Tunaomba mikutano ya ufunguzi wa ofsi Wilaya ya Same Kata ya Makanya, suji, Chome na Gavaosaweni kwani tunazo ofisi za Kata ambazo zipo tayari tangu mwez wa 1 ilabado hazijafunguliwa rasmi. Ikumbukwe kuwa kata ya makanya inayo madini ya jasi ambayo muda mrefu yamechimbwa bila kuunufaisha uma wa makanya, tunao udongo mwekundu ambao unasafirishwa kwenda kenya, liposhamba la mkonge na migogoro mingi ya ardhi. Tunaomba mje mapema mwezi huu kufungua ofisi zetu na matawi zaidi ya 30 kwani ni aibu tangu mwez wa 1 hakuna ufunguz rasmi. Kwasasa tunafanya mikutano ya kuchagua mabaloz na viongozi wa matawi ila hatuna vifaa kabisa yaan bendera, kadi na miongozoTuwasiliane 0788177315
 
Viongoz wa CHADEMA Taifa Tunaomba mikutano ya ufunguzi wa ofsi Wilaya ya Same Kata ya Makanya, suji, Chome na Gavaosaweni kwani tunazo ofisi za Kata ambazo zipo tayari tangu mwez wa 1 ilabado hazijafunguliwa rasmi. Ikumbukwe kuwa kata ya makanya inayo madini ya jasi ambayo muda mrefu yamechimbwa bila kuunufaisha uma wa makanya, tunao udongo mwekundu ambao unasafirishwa kwenda kenya, liposhamba la mkonge na migogoro mingi ya ardhi. Tunaomba mje mapema mwezi huu kufungua ofisi zetu na matawi zaidi ya 30 kwani ni aibu tangu mwez wa 1 hakuna ufunguz rasmi. Kwasasa tunafanya mikutano ya kuchagua mabaloz na viongozi wa matawi ila hatuna vifaa kabisa yaan bendera, kadi na miongozoTuwasiliane 0788177315

Safi sana Mungu awatangulie katika hatua zenu hizo
 
Zanzibar ni koloni la tanganyika. Mzanzibar shiriki katika harakati za kudai uhuru wa zanzibar - 2012.
 
Viongoz wa CHADEMA Taifa Tunaomba mikutano ya ufunguzi wa ofsi Wilaya ya Same Kata ya Makanya, suji, Chome na Gavaosaweni kwani tunazo ofisi za Kata ambazo zipo tayari tangu mwez wa 1 ilabado hazijafunguliwa rasmi. Ikumbukwe kuwa kata ya makanya inayo madini ya jasi ambayo muda mrefu yamechimbwa bila kuunufaisha uma wa makanya, tunao udongo mwekundu ambao unasafirishwa kwenda kenya, liposhamba la mkonge na migogoro mingi ya ardhi. Tunaomba mje mapema mwezi huu kufungua ofisi zetu na matawi zaidi ya 30 kwani ni aibu tangu mwez wa 1 hakuna ufunguz rasmi. Kwasasa tunafanya mikutano ya kuchagua mabaloz na viongozi wa matawi ila hatuna vifaa kabisa yaan bendera, kadi na miongozoTuwasiliane 0788177315

Mkuu huoni ni busara kuwasiliana na hao viongozi wako kwa taratibu za kiofisi, na kwa njia zinazokubalika kama nawe ni muhusika huko Same
 
Viongoz wa CHADEMA Taifa Tunaomba mikutano ya ufunguzi wa ofsi Wilaya ya Same Kata ya Makanya, suji, Chome na Gavaosaweni kwani tunazo ofisi za Kata ambazo zipo tayari tangu mwez wa 1 ilabado hazijafunguliwa rasmi. Ikumbukwe kuwa kata ya makanya inayo madini ya jasi ambayo muda mrefu yamechimbwa bila kuunufaisha uma wa makanya, tunao udongo mwekundu ambao unasafirishwa kwenda kenya, liposhamba la mkonge na migogoro mingi ya ardhi. Tunaomba mje mapema mwezi huu kufungua ofisi zetu na matawi zaidi ya 30 kwani ni aibu tangu mwez wa 1 hakuna ufunguz rasmi. Kwasasa tunafanya mikutano ya kuchagua mabaloz na viongozi wa matawi ila hatuna vifaa kabisa yaan bendera, kadi na miongozoTuwasiliane 0788177315
Hongereni sana harakati zenu ni za kupongezwa makamanda! Nyie endeleeni kupiga kazi viongozi watawakuta njiani mkiendelea na ukombozi, naamini pia wamesha wasikia watawasiliana na nyie, pia nitachukua simu yako niwapatie viongozi ninaowajua!
 
Aisee asante sana kwa taarifa kama hizi. Ni changamoto kwa uongozi makao makuu, wachangamkie tenda!. Gharika/upepo wa madbadiliko na ukombozi umezidi uwezo wa kukusanya!


This is very refreshing! Asante sana Simon
 
Mwenyezi Mungu awape uvumilivu viongozi watakuja. Msikate tamaa kama hayo ni ya kweli. Tunawaombea sana Mungu azidi kuwafungulia njia na kuwapa maono zaidi.
 
Viongoz wa CHADEMA Taifa Tunaomba mikutano ya ufunguzi wa ofsi Wilaya ya Same Kata ya Makanya, suji, Chome na Gavaosaweni kwani tunazo ofisi za Kata ambazo zipo tayari tangu mwez wa 1 ilabado hazijafunguliwa rasmi. Ikumbukwe kuwa kata ya makanya inayo madini ya jasi ambayo muda mrefu yamechimbwa bila kuunufaisha uma wa makanya, tunao udongo mwekundu ambao unasafirishwa kwenda kenya, liposhamba la mkonge na migogoro mingi ya ardhi. Tunaomba mje mapema mwezi huu kufungua ofisi zetu na matawi zaidi ya 30 kwani ni aibu tangu mwez wa 1 hakuna ufunguz rasmi. Kwasasa tunafanya mikutano ya kuchagua mabaloz na viongozi wa matawi ila hatuna vifaa kabisa yaan bendera, kadi na miongozoTuwasiliane 0788177315

Hivi kumbe bado hakuna ofisi ya wilaya ya chama letu. Mnyika na wengine fanyeni fasta jamani. Hongereni sana wana SAME Murungu amgenje Nguvu ya Vantu itisha sana. VIVA CHADEMA
 
Back
Top Bottom