simon james
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 283
- 140
Viongoz wa CHADEMA Taifa Tunaomba mikutano ya ufunguzi wa ofsi Wilaya ya Same Kata ya Makanya, suji, Chome na Gavaosaweni kwani tunazo ofisi za Kata ambazo zipo tayari tangu mwez wa 1 ilabado hazijafunguliwa rasmi. Ikumbukwe kuwa kata ya makanya inayo madini ya jasi ambayo muda mrefu yamechimbwa bila kuunufaisha uma wa makanya, tunao udongo mwekundu ambao unasafirishwa kwenda kenya, liposhamba la mkonge na migogoro mingi ya ardhi. Tunaomba mje mapema mwezi huu kufungua ofisi zetu na matawi zaidi ya 30 kwani ni aibu tangu mwez wa 1 hakuna ufunguz rasmi. Kwasasa tunafanya mikutano ya kuchagua mabaloz na viongozi wa matawi ila hatuna vifaa kabisa yaan bendera, kadi na miongozoTuwasiliane 0788177315