Mkuu una maana Nyandekwa au? Nimeondoka miaka mingi Igunga ila sikumbuki kuacha kijiji kinaitwa Nandekwa nakumbuka Nyandekwa! Tuyaache hayo vyote ni vijiji tu kama vipo. Kwa hiyo Mkuu unataka kusema kwamba CDM ni wagomvi tuu, wanataka wao tuuu ndio wawe na Helkopita kwa kuwa ni waasisi wa Helkopita?