Bwana Bima
JF-Expert Member
- Jul 29, 2014
- 418
- 886
Huu utaratibu wa mawaziri,manaibu waziri na viongozi wengine kuwasimanga vijana kwamba ni watumia pombe unapaswa kukemewa sana. Naongea hivi nikiwa na sababu za msingi kadhaa;
1) Si kweli kwamba vijana wote ambao maisha yamewachapa na kuangukia kwenye pombe ni wavivu kufanya kazi. Wapo wachapa kazi wanapata pesa zao so sio dhambi kutumia.
2) Hao mawaziri ndio wanapaswa kujihoji hasa kwa nafasi wanazopewa je kuna mifumo sahihi ambayo wanaumiza kichwa kuitengeneza ili kuzalisha ajira za kutosha? Kila siku tunasikia kuhusu ufisadi mkubwa unaopigwa na hao hao vigogo unategemea kutapatikana Maendeleo ambayo yatachagiza kupatikana fursa za kutosha kwa ajili ya vijana?
3) Majuzi zilitanganzwa nafasi kadhaa kuwawezesha vijana kupitia kilimo. Mpaka sasa haijulikani hao vijana walipatikana vipi kiasi cha watu wengi kudai ni vijana watoto wa vigogo na UVCCM.
4) Kila siku teuzi zimekua ni wazee tu, kupata ajira mpaka connection au rushwa. Happ sijaongelea mifumo ya elimu nchini ambayo mwanafunzi akimaliza hana anachoweza kufanya. Mbaya zaidi nafasi za kujitolea nowadays nayo ni connection ndo unapata je utapata wap ujuzi wa kukusaidia kwa namna hio?
PLEASE MAWAZIRI NA VIONGOZI WOTE MTUACHE KAMA TULIVYO. ENDELEENI KULA MEMA YA NCHI SISI TUPAMBANE NA HALI ZETU. MAMBO YA KUTUSIMANGA TAFADHALI TUACHENI!
1) Si kweli kwamba vijana wote ambao maisha yamewachapa na kuangukia kwenye pombe ni wavivu kufanya kazi. Wapo wachapa kazi wanapata pesa zao so sio dhambi kutumia.
2) Hao mawaziri ndio wanapaswa kujihoji hasa kwa nafasi wanazopewa je kuna mifumo sahihi ambayo wanaumiza kichwa kuitengeneza ili kuzalisha ajira za kutosha? Kila siku tunasikia kuhusu ufisadi mkubwa unaopigwa na hao hao vigogo unategemea kutapatikana Maendeleo ambayo yatachagiza kupatikana fursa za kutosha kwa ajili ya vijana?
3) Majuzi zilitanganzwa nafasi kadhaa kuwawezesha vijana kupitia kilimo. Mpaka sasa haijulikani hao vijana walipatikana vipi kiasi cha watu wengi kudai ni vijana watoto wa vigogo na UVCCM.
4) Kila siku teuzi zimekua ni wazee tu, kupata ajira mpaka connection au rushwa. Happ sijaongelea mifumo ya elimu nchini ambayo mwanafunzi akimaliza hana anachoweza kufanya. Mbaya zaidi nafasi za kujitolea nowadays nayo ni connection ndo unapata je utapata wap ujuzi wa kukusaidia kwa namna hio?
PLEASE MAWAZIRI NA VIONGOZI WOTE MTUACHE KAMA TULIVYO. ENDELEENI KULA MEMA YA NCHI SISI TUPAMBANE NA HALI ZETU. MAMBO YA KUTUSIMANGA TAFADHALI TUACHENI!