LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Tangu saa mbili nasikia ving'ora kama ya fire na imedumu sana! Na nimejaribu kuwapigia mabest hapo mtaa wa barabarani nao wakidai bila shaka ni janga la moto na kama kuna mwenye news ya hili atujuze jamani!
Ni hilo tu wadau!
Ni hilo tu wadau!