Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,374
- 5,016
Sina hakiki uko eneogani kijiografia. Mfano mimi niko mbezi bondeni yaani mtu wa nyumba 3 namuona kama yuko ghorafa ya 3 hivi natumia mringoti mt25 hivi unapozingu kutafuta uelekeo ni vema uwe mtu wa pili wkt unarekibisha mwenzio anakusome signal. Sijui nimekujibu Jolyjoly.