Vijana Warusi wameapa kujijeruhi ili kuepuka kuburuzwa kwenda vitani

Siku vita ikitokea kwetu ndipo utajua kuwa watz hawaendi kupigana. Tutawaachia viongozi wakapigane.

Leo ajira zikitoka wanawapa watoto wao.

Vita ikija wanataka watoto wetu wawe frontline bila mafunzo.

Adui atashinda asubuhi.

Hakuna atakayekuwa mzalendo kwenye mauti.
Mtaswagwa kinguvu tu! Omba Mungu apishe mbali!
 
Hii dunia vituko haviishi

Vijana wa Tanzania hupigana vikumbo kila ikitokea fursa za kujiunga na Jeshi kila mmoja akitaka apate nafasi

Urusi mambo ni tofauti maelfu ya Wanaume wako mpakani mwa Finland, Sweden, German na Gorgia wakikimbia kuingizwa Kwenye Jeshi la akiba

Niko nafuatilia al jazeera news

Jumaa kareem!
Kuna tofauti kujiunga na jeshi huku vita ikiendelea, na huku amani imetawala
 
Huu mkakati wa dikteta Putin utafeli vibaya, huwezi ukawachukua watu wasio na ari ya kupigana ukawapeleka eti wakupiganie ukitegemea kwamba mambo ndio yataenda kama ulivyopanga.

Kwa sasa Marekani na washirika wake wanasoma tu kinachoendelea na mkakati huu wa Putin na tayari wenyewe wana jibu la kitakachotokea.

Zile Himars za masafa marefu za kilomita 300 pamoja na ndege za kivita za F-15 na F-16 ndio zinapangiwa utaratibu wa kupelekwa Ukraine kabla ya majira ya baridi kuanza na maaskari wake ndio wanakaribia kukamilisha mafunzo huko Marekani.

Huenda vita hii vikaandika historia ya kuwa na wanajeshi wengi zaidi wa kujisalimisha kwani hao askari wa akiba hawawezi kufaulu pale waliposhindwa wale professionals.
 
Huu mkakati wa dikteta Putin utafeli vibaya, huwezi ukawachukua watu wasio na ari ya kupigana ukawapeleka eti wakupiganie ukitegemea kwamba mambo ndio yataenda kama ulivyopanga.
Hii vita inazidi kumfunua Putin. The man is overated. Hana maajabu

Hao wanaoandikishwa kwa nguvu ili wapelekwe vitani wataenda kuwa mzigo kwa wanajeshi OG na mwisho wa siku wanaweza kuuana wenyewe kwa wenyewe.

Kinachotokea Russia ni meseji tosha kwa Putin kwamba majority hawapo tayari kuingia front kupigana vita kwenye vita ya kipuuzi ambayo raia hawaelewi hata kwa nini ilianzishwa
 
Hali ni tofauti sana katika nchi mbili ulizotaja za Urusi na Tanzania. Kuwa mwanajeshi Urusi siyo fursa wala ajira, ni msala! Kwa hapa Tanzania, jeshi ni ajira moja ya uhakika sana, ukiingia unajihakikishia ajira salama, kwa kazi ambayo katika maisha yako yote ya kupanda vyeo na kulipwa vizuri wala hutaifanya kazi hiyo na utastaafu kwa heshima. Imagine watu walioingia jeshini 1992 leo hii wametimiza miaka 30 ya ajira bila kuhusika katika vita yoyote, na wengine wamestaafu bila kufyatua risasi yoyote nje ya viwanja vya mazoezi, zile za kulenga picha iliyochorwa kwenye karatasi ngumu umbali wa mita 100.
Hali ya usalama ndiyo inayotofautisha mazingira hayo, na kufanya huku kwetu jeshi ionekane ni ajira ama fursa
Umenena vyema
 
Halafu watoto WA masikini wakiomba kazi jeshini wanaambiwa kazi hamna Ila vita zikija battle front wao ndio wanataka kuwatoa watoto WA walala Hoi wakawe kama kafara huko , upuuz sana
 
Wengi wamepokea barua wahudhurie usaili, ila kunao wasiokua na ujuzi wowote wa kijeshi amba pia wamepokea, na ni hatia kutotii hiyo amri. Kunao wameapa bora wajijeruhi hata kama itabidi kujivunga ungo lolote mguu au mkono.

Kuna mapolisi yanazunguka mlango kwa mlango kufuata wote waliotumiwa hizo barua.

Warusi wajilaumu wenyewe kwenye hii kadhia, maana Putin alipoanza kuivamia Ukraine, wao waliendelea na maisha kama kawaida, hawakujua kwa namna fulani hii shughuli itawakuta, walidhani nchi yao supapawa kama Marekani ambaye hupigana mbali huku raia wake wakiendelea kula pizza na burgers.

===================

'I will break my arm, my leg... anything to avoid the draft'​

View attachment 2365174
For many Russian men the Kremlin's decision to call up 300,000 military reservists for the war in Ukraine came as a shock.

In the big cities, Russia's seven-month war on its neighbour has always seemed a long way away. But as soon as President Vladimir Putin's address was over, it hit home. Being sent into combat was closer than anyone could have imagined.

Office messaging chats exploded with anxious discussions of what would happen next. Plans were made on how to avoid being sent to the front line.

"It was like a sci-fi movie from the 1980s. A bit scary to be honest with you," says Dmitry, 28, who works in an office in St Petersburg. Staff could not start their working day, glued to the speech on their TV, computer and mobile phone screens.

He excused himself from the office after lunch and went to exchange roubles for dollars at a nearby bank.

Dmitry moved house after he was paid a police visit for taking part in an anti-war rally - believing it would be harder for authorities to find him.

"I am not certain what to do next: jump on the next plane abroad or stay in Russia a bit longer and get chased by the cops at a couple of anti-war rallies."

Sergei - not his real name - has already been called up.

A 26-year-old PhD student and lecturer at a prominent Russian university, he was expecting a delivery of groceries the night before the Putin address when the doorbell rang. Instead, he was faced with two men in civilian clothes who handed him military papers and asked him to sign.

The BBC has a copy of these documents, asking him to attend a draft centre on Thursday.

Sergey, a PhD student with no combat experience, was handed military papers after Putin announced a partial mobilisation
Sergey, a PhD student with no combat experience, was handed military papers after Putin announced a partial mobilisation© BBC
The Kremlin said only people who had done their military service and had special skills and combat experience would be called up. But Sergei has no military experience and his stepfather is worried, as dodging the draft is a criminal offence in Russia.

The stepfather works in a state oil company and hours later he was asked to provide a list of staff who had a legal exemption from military service.

Most Russian men do not, so many have been seeking ways to avoid the call-up.

In Moscow, Vyacheslav says he and his friends started looking for medical connections to help.

"Mental health or treatment for drug addiction look like good, cheap or perhaps even free options," he said.

"If you are stoned and get arrested while driving, hopefully you will get your licence taken away and will have to undergo treatment. You can't be certain but hopefully this will be enough to avoid being taken [into the army]."

His brother-in-law narrowly avoided the draft because he was not at home when officials came calling. His mother saw the documents, which demanded he report for duty between 19 and 23 September.

"He has now locked himself in one room and refuses to come out," says Vyacheslav. "He has two tiny kids aged three and one: what is he supposed to do?"

Another man, from Kaliningrad, told the BBC he would do anything to avoid being drafted: "I will break my arm, my leg, I will go to prison, anything to avoid this whole thing."

Some of the anti-war protesters who took to the streets on Wednesday were handed military draft papers

Some of the anti-war protesters who took to the streets on Wednesday were handed military draft papers© Getty Images

Thousands of Russians attended anti-war protests in cities across Russia on Wednesday night. Many said they were handed call-up papers either in the street or later in police detention.

Human rights organisation OVD-Info listed up to 10 police stations in Moscow alone where protesters were given their papers. At least one man in Moscow's Vernadsky district refused to sign and was threatened with a criminal case.

One woman told the independent Mediazona website that her husband was detained at an anti-war protest in Arbat in central Moscow. He was taken to a police station, handed call-up papers and signed them as he was being videoed by the police. He was told to turn up to be drafted on Thursday.

Mikhail, 25, had left Russia for neighbouring Georgia at the start of the war and only returned to his small hometown in the Urals for a few days. He had planned to go back but is now worried by President Putin's nuclear weapons threat and will stay in Russia, close to his family.

"We're in a state of panic. In my town many have already received call-up papers but I am not registered to live here so won't get them."

He had recently secured a good job in Tbilisi but now sees it as pointless because of Vladimir Putin's military escalation.

"On 21 September, he managed to destroy even the mess he first made on 24 February [the start of the invasion]," Mikhail said. "I've stopped caring completely, I only live for today."

Endelea na mihangaiko yako ya Urusi huyawezi
 
Una upungufu wewe, kwahiyo Putin hakusign kutaka watu wajiunge na jeshi? Watu hawalazimishwi kujiunga na jeshi?
Zelensky anapelekea Moto kenge wakirusi balaa , I can't imagine Lockheed Martin wakishusha F-15 bombers na kuongeza Long range Himars , supapoor lazima aharishe
Supapoor WA mchongo karecruit mpaka wafungwa naona wameisha wanachinjwa tu na javelins huko sasa anataka kafara za raia
 
Mleta mada utapata tabu saana usipojiandaa kisaikolojia. Haya mambo si lelemama!
=====
Because of the recent failures of Russian forces in the Kharkiv direction, Ukraine’s constant attacks on militia’s positions in the Donetsk People’s Republic, and the ongoing military assistance from Western countries to Kiev, Putin has no choice but to declare mobilization.

Despite the expected increase in discontent among part of the population with the need to take part in this war, even in Ukraine they are forced to admit that the situation may change drastically in the very near future. Ukrainian telegram channels publish videos of large queues of people who came to the military registration and enlistment offices after receiving summonses. The few stories about men allegedly being illegally arrested in broad daylight on the streets of Russian cities turned out to be fake.

In the Belgorod region, whose residents are regularly subjected to shelling from Ukraine, the turnout at the commissariats exceeded 80 percent in the first days of the mobilization. Volunteers, who have been helping the military since the early days of the war by purchasing and delivering everything they need, come to the assembly points themselves and share their impressions: there is a fighting spirit and no panic. There are also volunteers who came without any summons.

Russian Mobilization. Beginning Of End For Kiev And NATO
Obtaining uniforms for the mobilized
There are a lot of videos videos in social networks from different Russian regions showing the departure of the first groups of mobilized citizens. A lot of volunteers who ame to the commissariat without waiting for the summons were interrogated by the media:
 
Jeshini huwa patamu kipindi cha amani, unavaa full jungle magwanda kama yote na kutamba uraiani watu wanakuona Rambo, ila subiri mbiu ya mgambo ya kwenda vitani iite, utatamani ujifiche kwa bibi kijijini....
😀😀
 
Back
Top Bottom