Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 16,222
- 10,693
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wa Ufaransa Mheshimiwa Emmanueli Macron amemteua Gabriel Attal kuwa waziri mkuu wake, kijana mdogo kabisa katika Historia ya Ufaransa mwenye umri wa miaka 34 aliyezaliwa tarehe 16 march 1989.
Je vijana wa kitanzania tunajifunza nini katika uteuzi huo wa kijana mdogo kabisa aliyeaminiwa kuwa waziri mkuu katika Taifa kubwa kabisa na lenye historia kubwa kabisa barani ulaya na Duniani kwote? Ikumbukwe hata Rais Macron alitwaa madaraka ya Urais akiwa na umri wa miaka 39.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Rais wa Ufaransa Mheshimiwa Emmanueli Macron amemteua Gabriel Attal kuwa waziri mkuu wake, kijana mdogo kabisa katika Historia ya Ufaransa mwenye umri wa miaka 34 aliyezaliwa tarehe 16 march 1989.
Je vijana wa kitanzania tunajifunza nini katika uteuzi huo wa kijana mdogo kabisa aliyeaminiwa kuwa waziri mkuu katika Taifa kubwa kabisa na lenye historia kubwa kabisa barani ulaya na Duniani kwote? Ikumbukwe hata Rais Macron alitwaa madaraka ya Urais akiwa na umri wa miaka 39.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.