JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
Vijana tegemezi wa kiume ambao ni graduates wanaongezeka sababu kazi zao zimeshikwa na dada zao wanaobebwa na mfumo wa Huyu ni Mwanamke, tumpe nafasi mwanamke, Haki sawa, Usishindane na mwanamke n.k.
Mabinti graduate wanapata kazi mapema kuliko vijana wa kiume, matokeo yake hata waoaji wanapungua kwa sababu ya uoga wa maisha ya majukumu ya ndoa na kuoa binti mwenye ajira aliyesoma.
USHAURI:
Vijana hakuna jinsi, tafuteni system nzuri ya kuingia mashambani. Serikali haiwezi kutoa ajira kwa wingi uliopo halafu binti wa kike anapewa kipaumbele kwenye ajira chache zilizopo. Huku mtaani hali ni mbaya. Vijana wengi ninaokutana nao wanahitaji msaada na si rahisi kuwasaidia wote.
Mabinti graduate wanapata kazi mapema kuliko vijana wa kiume, matokeo yake hata waoaji wanapungua kwa sababu ya uoga wa maisha ya majukumu ya ndoa na kuoa binti mwenye ajira aliyesoma.
USHAURI:
Vijana hakuna jinsi, tafuteni system nzuri ya kuingia mashambani. Serikali haiwezi kutoa ajira kwa wingi uliopo halafu binti wa kike anapewa kipaumbele kwenye ajira chache zilizopo. Huku mtaani hali ni mbaya. Vijana wengi ninaokutana nao wanahitaji msaada na si rahisi kuwasaidia wote.