Jamani tuachieni wanaume wetu tafadhali!!ni nini mbaya mpaka mnawaandama kila siku????wanawachukuliavwanawake zenu au??sie wenyewe tunawakubali,nyie endeleeni kupaka poda tu.
Kila siku humu ndani ni Wachaga na watu wa Arusha hatutoki midomoni mwenu!wacheni chuki zisizokuwa na msingi.
Niko mitaa Tabata Ubaya Ubaya na washkaji wa A Town....
Kinachoendelea katika eneo hili ni nyama choma na bia, lakini hawa masharobaro wa A Town nawaona wakipena kitu kilichofungwa kwenye nailoni kwa umahiri. Awali nilidhani ni ile kitu maarufu kwa jina la CHA ARUSHA, lakini nimeshangaa wanabwia na kisha kutema mate...
Nimeshikwa na udadisi na nilipouliza wakaniambia hiyo kitu inaitwa NGISUGI au UGORO.
Yaani wanaubwia kama hawana akili nzuri, na wameniambia hiyo kitu nimaarufu sana huko A TOWN....
Mimi nilijua hii kitu inatumiwa na wazee tu na vibibi vizee, kumbe hata vijana...!
Niko mitaa Tabata Ubaya Ubaya na washkaji wa A Town....
Kinachoendelea katika eneo hili ni nyama choma na bia, lakini hawa masharobaro wa A Town nawaona wakipena kitu kilichofungwa kwenye nailoni kwa umahiri. Awali nilidhani ni ile kitu maarufu kwa jina la CHA ARUSHA, lakini nimeshangaa wanabwia na kisha kutema mate...
Nimeshikwa na udadisi na nilipouliza wakaniambia hiyo kitu inaitwa NGISUGI au UGORO.
Yaani wanaubwia kama hawana akili nzuri, na wameniambia hiyo kitu nimaarufu sana huko A TOWN....
Mimi nilijua hii kitu inatumiwa na wazee tu na vibibi vizee, kumbe hata vijana...!
Hebu ngoja na mie nionje nijue ladha yake.....LOL
wenyewe tunaliita dongo wametuzuia kuberi tumehamia kwenye ugoro ni kutema mate kama wamama wajawazito
ugoro nuksi
nimekuwa nafanya kazi na wafanya kazi wezangu wa arusha kwenye kampuni ya mpawa wenyewe wako karibu asilimia 95% katika kampuni karibu asilimia 80 wanakula ugoro vijana ambao ni chini ya miaka 23 nilishangazwa na hili jambo sana yani meno ya mbele yashabadilika rangi kabisa,hamfai hata kuigwa mnakuja kazin mmelewa mnatia aibu yani wanatema mate kama adi kinyaa
o level kuna mchizi alini convice nigonge kitu cha babu a.k.a ngusu ile nimeweka kwenye mdomo wa chini sikujua kama mate ninayatema acha niyameze yan hapo hapo tumbo la kuharisha likaanza fasta nikazama toi ile siku yote ilibidi nihamie toi mazima asee