babamwenyenyumba
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,178
- 6,004
Hii kimara au ubungo unayoizungumzia ina shida ya maji ni ya mkoa gani?? Kama dar utakuwa hujafanya research vzr.maji kimara sahizi yanatoka kila siku.na hapa nipo sehem wanaunga bomba lingine lipitishe maji mtaani.kiufupi kwa sasa kimara hakuna shida ya maji