Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,976
- 32,380
Kiongozi umeelewa swali??mada haijasema utaje nani mwenye chama. Mbona mnarukiaga hoja kwa jazba bila kuzielewa??? Sio lazma kila hoja humu uijibu wewe, kwenye huu mtandao wapo watu wengi tu wenye majibu fasaha ya hoja zitolewazo. usijipe jukumu la kujibu kila hoja hata kama huna mchango wa maana katika hoja husika. Hamjisikiagi vibaya kuchanwa kila mara???
Mkuu, mbona unajipa kazi Mods!.
Nakushauri tu fungua forum yako uweke masharti yako! Hivi wewe ni nani humu JF mpaka upangie watu vitu vya kuongea? Kama upendi posts zangu zipotezee tu mkuu, JF ni huru sio ya CDM wala CCM au CUF, au ya mzee wako.
Unachotakiwa ni kufuata sheria na kanuni za JF halafu punguza porojo