Vijana 15 wenye nguvu na ushawishi ktk CHADEMA

Teh Teh Teh

Member
Nov 13, 2009
41
9
VIJANA 15 BORA WENYE NGUVU CHADEMA HAWA HAPA:-


  1. Zitto Kabwe
    • Naibu Katibu Mkuu.
    • Mbunge – Kigoma Kaskz – 2005 – hadi sasa.
    • Mshauri wa Rais wa Ujerumani masuala ya kiuchumi – Sahara.
    • Ana uthubutu. Ana nguvu sana ndani ya Chama.
  2. John Mnyika
    • Mkurugenzi wa Vijana kwa miaka 6.
    • Mkurugenzi wa Mambo ya Nje hadi sasa.
    • Amekaimishwa Ukatibu Mkuu mara nyingi.
    • Mbunge wa Ubungo – 2010 hadi sasa.
    • Yupo focused.
    • Hana ushawishi ndani ya Chama kwa wanachama wa chini sababu hajichanganyi. Anakubalika na vijana.
  3. John Heche.
    • Diwani wa Tarime Mjini – 2008 – 2010.
    • Alibebwa na uchaguzi wa marudio.
    • Ana nguvu kubwa ya ushawishi ndani ya Chama ingawa hana cheo chochote.
    • Aligombea Uenyekiti wa vijana – akaangushwa na Kafulila.
  4. Halima Mdee.
    • Mbunge – 2005 – hadi sasa (Viti maalum & Kawe)
    • Ni mwanamke kijana anayekubalika sana ndani ya Chama.
    • Ana uthubutu mkubwa sana..
  5. Dady Igogo.
    • Afisa wa Chama.
    • M/kiti wa kamati ya wagombea kwenye Timu ya Taifa ya Kampeni.
    • Aligombea Unyekiti wa Bavicha – akaangushwa na Kafulila.
    • Ana uthubutu, yupo focused & mkakati.
    • Ana ushawishi kwa vijana wa Chadema.
  6. Regia Mtema.
    • Ni Mbunge 2010 – (Viti Maalum)
    • Aligombea jimbo la Kilombero.
    • Ni mlemavu anayekubalika na mwenye uthubutu.
    • Ni Afisa wa Chama.
    • Anakubalika na kundi la vijana wa kike.


  1. Ezekiel Wenje
    • Mbunge wa Nyamagana.
    • Ana uthubutu.
    • Yupo focused.
    • Amebebwa na uchaguzi wa Nyamagana – 2010.



  1. Habib Mchange.
    • Amebebwa na siasa za makundi sana.
    • Ana ushawishi sana kwa vijana.
    • Ana mikakati, yuko focused.
    • Aligombea jimbo la Kibaha – 2010 akapata > 40%
    • Ana uthubutu + anakubalika.
    • Ni mwanafunzi wa mwaka wa pili – UDOM.


  1. David Silinde.
    • Mbunge wa Mbozi Magh. 2010 – hadi sasa.
    • Ana uthubutu


  1. John Mrema.
    • Ni Mkurugenzi wa Bunge & Halmashauri.
    • Aligombea ubunge jimbo la Vunjo.
    • Yupo Strategic na focused.
    • Ana uthubutu.
    • Amebebwa sana na siasa za makundi.

Wengine ni:-

  1. Vincent Nyerere.
  2. Owawa Steven
  3. Burton Gwakisa.
  4. Mwakajila Emanuel
  5. Mhonga Said Ruhwanywa.

 
na mimi nimo umenisahau... 2015 wapo wengi focused! vijana wengi walio vyuoni leo hii na waliomaliza wako ndani ya CDM. mambo mazuri!!
 
Si mpaka awe bungeni tu; Makamanda wako wengi sana huku mtaani kupiga jaramba kama vile:

Dr Kitila Mkumbo
Yule Msemaji wa CDM
Vijana wa Chadema Mikoa ya Mbeya, Iringa na Arusha
Selasini; listi nene tu mbona.
 
VIJANA 15 BORA WENYE NGUVU CHADEMA HAWA HAPA:-



  1. Zitto Kabwe
    • Naibu Katibu Mkuu.
    • Mbunge – Kigoma Kaskz – 2005 – hadi sasa.
    • Mshauri wa Rais wa Ujerumani masuala ya kiuchumi – Sahara.
    • Ana uthubutu. Ana nguvu sana ndani ya Chama.
  2. John Mnyika
    • Mkurugenzi wa Vijana kwa miaka 6.
    • Mkurugenzi wa Mambo ya Nje hadi sasa.
    • Amekaimishwa Ukatibu Mkuu mara nyingi.
    • Mbunge wa Ubungo – 2010 hadi sasa.
    • Yupo focused.
    • Hana ushawishi ndani ya Chama kwa wanachama wa chini sababu hajichanganyi. Anakubalika na vijana.
  3. John Heche.
    • Diwani wa Tarime Mjini – 2008 – 2010.
    • Alibebwa na uchaguzi wa marudio.
    • Ana nguvu kubwa ya ushawishi ndani ya Chama ingawa hana cheo chochote.
    • Aligombea Uenyekiti wa vijana – akaangushwa na Kafulila.
  4. Halima Mdee.
    • Mbunge – 2005 – hadi sasa (Viti maalum & Kawe)
    • Ni mwanamke kijana anayekubalika sana ndani ya Chama.
    • Ana uthubutu mkubwa sana..
  5. Dady Igogo.
    • Afisa wa Chama.
    • M/kiti wa kamati ya wagombea kwenye Timu ya Taifa ya Kampeni.
    • Aligombea Unyekiti wa Bavicha – akaangushwa na Kafulila.
    • Ana uthubutu, yupo focused & mkakati.
    • Ana ushawishi kwa vijana wa Chadema.
  6. Regia Mtema.
    • Ni Mbunge 2010 – (Viti Maalum)
    • Aligombea jimbo la Kilombero.
    • Ni mlemavu anayekubalika na mwenye uthubutu.
    • Ni Afisa wa Chama.
    • Anakubalika na kundi la vijana wa kike.

  1. Ezekiel Wenje
    • Mbunge wa Nyamagana.
    • Ana uthubutu.
    • Yupo focused.
    • Amebebwa na uchaguzi wa Nyamagana – 2010.


  1. Habib Mchange.
    • Amebebwa na siasa za makundi sana.
    • Ana ushawishi sana kwa vijana.
    • Ana mikakati, yuko focused.
    • Aligombea jimbo la Kibaha – 2010 akapata > 40%
    • Ana uthubutu + anakubalika.
    • Ni mwanafunzi wa mwaka wa pili – UDOM.

  1. David Silinde.
    • Mbunge wa Mbozi Magh. 2010 – hadi sasa.
    • Ana uthubutu

  1. John Mrema.
    • Ni Mkurugenzi wa Bunge & Halmashauri.
    • Aligombea ubunge jimbo la Vunjo.
    • Yupo Strategic na focused.
    • Ana uthubutu.
    • Amebebwa sana na siasa za makundi.
Wengine ni:-

  1. Vincent Nyerere.
  2. Owawa Steven
  3. Burton Gwakisa.
  4. Mwakajila Emanuel
  5. Mhonga Said Ruhwanywa.

Zito hastahili kuwa namba 1 katka hiyo list.
Anayestahili namba hiyo ni Mnyika John John kwa sababu:
-Alishinda kwa kishindo kikubwa mno katika jimbo la Ubungo lililokuwa na ushindani mkubwa sana kuliko majimbo yote Tanzania, akichuana na mgombea wa ccm aliyekuwa anabebwa sana na chama chake na vilevile Julius Mtatiro aliyekuwa na ushawishi mkubwa sana wa kisiasa.
-Alikaimu nafasi ya Ukatibu mkuu wa chama katika kipindi cha uchaguzi mkuu akiwa yeye ndiye mtendaji mkuu nafasi ambayo aliimudu barabara.
-Alipigia kampeni wagombea wengine wa chadema katika kipindi hicho hicho.
-Bado aliendelea kushikilia nyadhifa zake nyingine bila kutetereka.
-Yuko focused na Hakurupuki
-Hana papara wala uchu wa madaraka wala uroho wa utajiri wa haraka haraka.

Kwa upande wake, Zito yeye ni kinyume cha hayo hapo juu.
Kwa mawazo yangu Zito alistahili namba 5.

List yangu ni hii hapa:
1. Mnyika
2. John Mrema
3. Halima Mdee
4. Hezekia Wenje
5. Zito
6. Higness Samson
 
Si mpaka awe bungeni tu; Makamanda wako wengi sana huku mtaani kupiga jaramba kama vile:

Dr Kitila Mkumbo
Yule Msemaji wa CDM
Vijana wa Chadema Mikoa ya Mbeya, Iringa na Arusha
Selasini; listi nene tu mbona.
Lengo la mtoa hoja ilikuwa imelenga vijana wenye nguvu na si wanasiasa wenye nguvu ndani ya CHADEMA!
 
Si mpaka awe bungeni tu; Makamanda wako wengi sana huku mtaani kupiga jaramba kama vile:

Dr Kitila Mkumbo
Yule Msemaji wa CDM
Vijana wa Chadema Mikoa ya Mbeya, Iringa na Arusha
Selasini; listi nene tu mbona.


Na vipi vijana wa Mwanza?!!!!!
 
comrades.
nimelenga vijana wenye nguvu ndani ya Chama!
Highness ni mgeni ndani ya Chama. hajulikani, hana ushawishi. ana ushawishi Ilemela.
Zitto nje inawezekana hana nguvu. lakini ndani ya muundo wa kiuongozi na vikao vya Chama, Chadema hawawezi kupuuza nguvu zake! pengine angeshatimuliwa.
Mnyika ana nguvu nje ya chama, ndani ya chani ya chama hawezi kumpiku zitto.
 
Kijana ni umri wa miaka mingapi mpaka ngapi?

Sisi UVCCM ukifika 31 wewe siyo kijana tena - UVCHADEMA je?
 
VIJANA 15 BORA WENYE NGUVU CHADEMA HAWA HAPA:-



  1. Zitto Kabwe
    • Naibu Katibu Mkuu.
    • Mbunge – Kigoma Kaskz – 2005 – hadi sasa.
    • Mshauri wa Rais wa Ujerumani masuala ya kiuchumi – Sahara.
    • Ana uthubutu. Ana nguvu sana ndani ya Chama.
  2. John Mnyika
    • Mkurugenzi wa Vijana kwa miaka 6.
    • Mkurugenzi wa Mambo ya Nje hadi sasa.
    • Amekaimishwa Ukatibu Mkuu mara nyingi.
    • Mbunge wa Ubungo – 2010 hadi sasa.
    • Yupo focused.
    • Hana ushawishi ndani ya Chama kwa wanachama wa chini sababu hajichanganyi. Anakubalika na vijana.
  3. John Heche.
    • Diwani wa Tarime Mjini – 2008 – 2010.
    • Alibebwa na uchaguzi wa marudio.
    • Ana nguvu kubwa ya ushawishi ndani ya Chama ingawa hana cheo chochote.
    • Aligombea Uenyekiti wa vijana – akaangushwa na Kafulila.
  4. Halima Mdee.
    • Mbunge – 2005 – hadi sasa (Viti maalum & Kawe)
    • Ni mwanamke kijana anayekubalika sana ndani ya Chama.
    • Ana uthubutu mkubwa sana..
  5. Dady Igogo.
    • Afisa wa Chama.
    • M/kiti wa kamati ya wagombea kwenye Timu ya Taifa ya Kampeni.
    • Aligombea Unyekiti wa Bavicha – akaangushwa na Kafulila.
    • Ana uthubutu, yupo focused & mkakati.
    • Ana ushawishi kwa vijana wa Chadema.
  6. Regia Mtema.
    • Ni Mbunge 2010 – (Viti Maalum)
    • Aligombea jimbo la Kilombero.
    • Ni mlemavu anayekubalika na mwenye uthubutu.
    • Ni Afisa wa Chama.
    • Anakubalika na kundi la vijana wa kike.

  1. Ezekiel Wenje
    • Mbunge wa Nyamagana.
    • Ana uthubutu.
    • Yupo focused.
    • Amebebwa na uchaguzi wa Nyamagana – 2010.


  1. Habib Mchange.
    • Amebebwa na siasa za makundi sana.
    • Ana ushawishi sana kwa vijana.
    • Ana mikakati, yuko focused.
    • Aligombea jimbo la Kibaha – 2010 akapata > 40%
    • Ana uthubutu + anakubalika.
    • Ni mwanafunzi wa mwaka wa pili – UDOM.

  1. David Silinde.
    • Mbunge wa Mbozi Magh. 2010 – hadi sasa.
    • Ana uthubutu

  1. John Mrema.
    • Ni Mkurugenzi wa Bunge & Halmashauri.
    • Aligombea ubunge jimbo la Vunjo.
    • Yupo Strategic na focused.
    • Ana uthubutu.
    • Amebebwa sana na siasa za makundi.
Wengine ni:-

  1. Vincent Nyerere.
  2. Owawa Steven
  3. Burton Gwakisa.
  4. Mwakajila Emanuel
  5. Mhonga Said Ruhwanywa.

yaani haujanitaja?

are you sirias?
 
Hujamtendea haki huyu

sugu+mjengoni.JPG
 
Umejitahidi,but zitto is no longer adviser to german president.the president is no longer in power.zitto is no longer powerful in chadema as he used to be due to different scandals attached to him.in the list of 15, he is no. 13!!!his acceptability/approval ratings according to my findings is 21%...
 
Back
Top Bottom