Teh Teh Teh
Member
- Nov 13, 2009
- 41
- 9
VIJANA 15 BORA WENYE NGUVU CHADEMA HAWA HAPA:-
- Zitto Kabwe
- Naibu Katibu Mkuu.
- Mbunge Kigoma Kaskz 2005 hadi sasa.
- Mshauri wa Rais wa Ujerumani masuala ya kiuchumi Sahara.
- Ana uthubutu. Ana nguvu sana ndani ya Chama.
- John Mnyika
- Mkurugenzi wa Vijana kwa miaka 6.
- Mkurugenzi wa Mambo ya Nje hadi sasa.
- Amekaimishwa Ukatibu Mkuu mara nyingi.
- Mbunge wa Ubungo 2010 hadi sasa.
- Yupo focused.
- Hana ushawishi ndani ya Chama kwa wanachama wa chini sababu hajichanganyi. Anakubalika na vijana.
- John Heche.
- Diwani wa Tarime Mjini 2008 2010.
- Alibebwa na uchaguzi wa marudio.
- Ana nguvu kubwa ya ushawishi ndani ya Chama ingawa hana cheo chochote.
- Aligombea Uenyekiti wa vijana akaangushwa na Kafulila.
- Halima Mdee.
- Mbunge 2005 hadi sasa (Viti maalum & Kawe)
- Ni mwanamke kijana anayekubalika sana ndani ya Chama.
- Ana uthubutu mkubwa sana..
- Dady Igogo.
- Afisa wa Chama.
- M/kiti wa kamati ya wagombea kwenye Timu ya Taifa ya Kampeni.
- Aligombea Unyekiti wa Bavicha akaangushwa na Kafulila.
- Ana uthubutu, yupo focused & mkakati.
- Ana ushawishi kwa vijana wa Chadema.
- Regia Mtema.
- Ni Mbunge 2010 (Viti Maalum)
- Aligombea jimbo la Kilombero.
- Ni mlemavu anayekubalika na mwenye uthubutu.
- Ni Afisa wa Chama.
- Anakubalika na kundi la vijana wa kike.
- Ezekiel Wenje
- Mbunge wa Nyamagana.
- Ana uthubutu.
- Yupo focused.
- Amebebwa na uchaguzi wa Nyamagana 2010.
- Habib Mchange.
- Amebebwa na siasa za makundi sana.
- Ana ushawishi sana kwa vijana.
- Ana mikakati, yuko focused.
- Aligombea jimbo la Kibaha 2010 akapata > 40%
- Ana uthubutu + anakubalika.
- Ni mwanafunzi wa mwaka wa pili UDOM.
- David Silinde.
- Mbunge wa Mbozi Magh. 2010 hadi sasa.
- Ana uthubutu
- John Mrema.
- Ni Mkurugenzi wa Bunge & Halmashauri.
- Aligombea ubunge jimbo la Vunjo.
- Yupo Strategic na focused.
- Ana uthubutu.
- Amebebwa sana na siasa za makundi.
Wengine ni:-
- Vincent Nyerere.
- Owawa Steven
- Burton Gwakisa.
- Mwakajila Emanuel
- Mhonga Said Ruhwanywa.