Vigogo zaidi wa BOT watinga kortini

vigogo wanne wa BOT wametinga kortini (mahakama ya wilaya ya ilala) kwa wizi wa bilioni 104 pamoja na kuchapisha noti nyingi bila ya kufuata utaratibu kwenye mikataba ya uchapishaji wa noti hizo. watu hao ni Bosco, ally, kisimo

haya jamani yale aliyoahidi JK ndio yanaanza kuonekana na kutekelezeka au ni kuwafurahisha wananchi na kuwafumba macho kwa ajili ya kuelekea uchaguzi 2010?

soma magazeti ya leo


wakuu hii hatua ni ya kupongeza ..lakini bado..kwani zaidi ya hiyo rushwa ya mradi wa bilioni 100...ya uagizaji wa sarafu...bado tena juzi imetokea wizi wa bilioni 100 kwenye mfumo wa malipo wa pesa toka TANESCO na TTCL kwenda BOT...
 
tunataka waende jela.manake kesi nyingine zinaendeshwa kiasi kwamba zinakuwa hazieleweki.sio inafika 2011 baada ya uchaguzi wanaachiwa wote kama kina zombe
 
Nakumbuka wakati mmoja Dr. Mzindakaya Majiyatanga akitoa mchango wake Bungeni aliisifu sana BOT kwa kusema is one of the few well run Central Bank in Africa. Sasa sijui kama alikuwa anaisifia kutokana na kale kamkopo alikopata kwa ajili ya kiwanda chake cha nyama au alikuwa haelewi jamaa walivyokuwa wanachukua chao mapema!
 
Kimsingi kesi ya kuchapisha kupita mahita haijanza sasa. ila kwa sababu tu wamezimana ndo tunasikia. Fuatilia sakata la sarafu za sh100/- na 50/- zilizopakwa rangi ya njano ili zionekane kama ni shaba. Udhibiti wa fetha haramu ni Mdogo sana.
 
Huyu wana Simon Jengo amejenga nyumba kiluvya ambayo kwa mshahara wa Director wa BOT hauwezi kujenga hata kama utafanya kazi miaka 50 bila kutumia. Ukiuliza unaambiwa watu wana biashara zao zingine,kumbe biashara zenyewe ndiyo kuchapisha noti?
 
tunataka waende jela.manake kesi nyingine zinaendeshwa kiasi kwamba zinakuwa hazieleweki.sio inafika 2011 baada ya uchaguzi wanaachiwa wote kama kina zombe

hivi kabsaaaaa unategemea kuwe na maajabu zaidi ya hayo kweli???utakuwa unapoteza energy yako kubwa sana.. itunze kwa mambo mengine mkuu
 
Ndugu zangu nimestuka sana kusikia simon jengo naye yumo akha! huyu kwanza kabisa ni mzee wa kanisa Azani a front Cathedral,pili ni mwalimu wa kwaya kuu azania Front, tatu yuko kwenye kamati ya maandalizi mikutano ya kiroho ya mwalimi Christopher mwakasege,hivi jamani ni kweli anaweza kuhujumu uchumi?

Duh! kama ndivyo basi, lakini kama simeon wamekusingizia kama yesu, basi mungu atakusaidia usikonde wala nini, hayo ni mapito tu!!,
 
Hii ndiyo bongo yetu bwana.Unaona vikwangua anga vinaota tu hapa bongo na magari ya kifahari kila uchao unajiuliza hivi hawa wenzetu mshiko wanaupata wapi?Kumbe watu wanakamua kwa kwenda mbele halafu hospitali hazina dawa,mikopo ya elimu ya juu mizengwe kwa kwenda mbele,huko vijijini ndiyo umaskini umekithiri halafu tunajifanya wacha Mungu sanaa.Hii ni aibu ya unafiki wetu watanzania kukosa uzalendo ndiyo maana kashfa kila siku mara richmond,epa,vijisenti,mikataba ya madini,kuuza nyumba za serikali,kiwira......Hivi uadilifu na maadili ya uongozi tutajifunza lini ili tugawane hizi raslimali za nchi hii kwa usawa?
 
Ndugu zangu nimestuka sana kusikia simon jengo naye yumo akha! huyu kwanza kabisa ni mzee wa kanisa Azani a front Cathedral,pili ni mwalimu wa kwaya kuu azania Front, tatu yuko kwenye kamati ya maandalizi mikutano ya kiroho ya mwalimi Christopher mwakasege,hivi jamani ni kweli anaweza kuhujumu uchumi?

Duh! kama ndivyo basi, lakini kama simeon wamekusingizia kama yesu, basi mungu atakusaidia usikonde wala nini, hayo ni mapito tu!!,

Nina hasira! Tena sana. Mzee wa kanisa naye yupo. tafakari nafasi yake, hadhi yake na taswira yake! Tusubiri mchakato wa sheria ili tujue kama ana hatia ama la. Lakini mpaka sasa AMECHAFUKA! Ama uchafu wake UMEONEKANA? Ama UMEWEKWA HADHARANI?
 
BoT employees in court over loss of 104 billion/-

By Rosemary Mirondo
16th September 2009

Four employees of the Bank of Tanzania (BoT) were yesterday charged in court with economic crime for occasioning the loss of over 104bn/- from public coffers.

They appeared at the Ilala District Court in Dar es Salaam to answer charges of increasing the order of new currency and keeping for themselves the difference, amounting to 104,158,536,146/- on separate occasions.

The accused are the former Director of Banking Simon Eliezer Jengo who now heads another department in the BoT, Deputy Director of Currency department, Kisima Thobias Mkango, Acting Director of the BoT Legal Services Bosco Ndimbo Kimela and Director of Banking, Ally Farjallah Bakari. The case was presided over by Resident Magistrate Samwel Maweda.

State Attorney Ben Lincoln alleged in court that Jengo and Mkango in 2004 in Dar es Salaam, with intent to deceive their principal, computed prior to banknote supplier’s offer, prices in the draft addendum of 2004 with reference to the year 2001’s main contract prices and sent the same to legal section for review.

On the second count it was alleged that accused Jengo on diverse dates in the year 2005 within the city and region of Dar es Salaam with intent to deceive the principal did request the printing of large amount of banknotes in the draft addendum of 2005 compared to that prepared by the User Department.

On the third count for all accused persons; Jengo, Mkango, Kimela and Bakari, it was alleged that between 2004 and 2007 in the city of Dar es Salaam, the four being employees of BoT failed to discharge their duties in a reasonable manner and unjustifiably prepared an addenda to the main contract of 2001 of higher prices in relation to the printing of banknotes than the main contract’s price causing the government to suffer a loss of 104,158,536,146/-.

The accused were not allowed to enter any plea because they were facing charges of economic crimes which according to law were tried at the High Court.

The defence lawyers Mabere Marando and Mpale Mpoki asked the court to dismiss the charges because the same court had no jurisdiction over the matter.

They further told the court that the accused committed the offence while they were employees of BoT and according to section 65 of the Economic Crimes Act they were not supposed to be charged as the offence was committed in the course of their duties.

However the prosecution asked the court to dismiss the defence submission because the filed charges under section 25 have to wait for completion of investigations before transferring the case to the High Court. The court is to give its ruling on the matter on Friday.

SOURCE: THE GUARDIAN
-----------------------------

Maoni yangu;
Kwa hali ilivyo sasa naona kabisa uozo wa nchi unaozungumziwa na Card. Pengo.
Inawezekanaje au ilianzia wapi hadi kufikia Benki Kuu ya nchi kuwa ni kichaka cha wizi badala ya kulinda vyombo vya fedha nchini.

Kwa aina hii ya watu hapo BOT, kweli pesa yetu ktk ma-benki iko salama? Nahisi haya ni matokeo ya kutoajili watu wenye sifa ktk taasisi kama hizi. Wengi wanaingizwa kwa memos then wametumika na wanasiasa mara nyingi kiasi cha kuona uhalali wa kuchota.

Is this a collapsing country?
 
Ndugu zangu nimestuka sana kusikia simon jengo naye yumo akha! huyu kwanza kabisa ni mzee wa kanisa Azani a front Cathedral,pili ni mwalimu wa kwaya kuu azania Front, tatu yuko kwenye kamati ya maandalizi mikutano ya kiroho ya mwalimi Christopher mwakasege,hivi jamani ni kweli anaweza kuhujumu uchumi?

Duh! kama ndivyo basi, lakini kama simeon wamekusingizia kama yesu, basi mungu atakusaidia usikonde wala nini, hayo ni mapito tu!!,


Usistuke kabisaaa! ktk kushiriki yote hayo kanisani lazima pesa itumike. Je, viongozi wa Azania walishawahi kujiuliza au kumuuliza wapi anatoa pesa hizo?

Tujiulize tulitegemea nini kama BoT inaajili watu wenye uwezo mdogo bila sifa nzuri za kimasomo??

Huyo Jengo unafahamu kwamba ni divission zero (0) form six student? Badaye akafanya usanii vyuo vya ajabu ajabu na kupata vyeti baada ya kuhonga na hatimaye anapewa dhamana kubwa kiasi hicho!

NOW, the output is back to its original ZERO
 
Nasubili kwa hamu sana kuona Zakia, Mramba, Mgonja et al kuona nao wanaongezwa kwenye list hiyo vinginevyo ni kiini macho tu bora wawaachie tu waendelee kupeta uswazi kwa nini mapapa wanawaogopa? Na kuishia kukamata vidagaa tu ambavyo ni chambo?
zakia hawezi kuguswa
 
Nothing at all. Catch not at the shadow and loose the substance. Wote walio kwisha kukamatwa au kuhusiswa na ufisadi wamechukliwa hatua gani zaidi ya kuwababaisha wananchi kuwa uchunguzi bado unaendelea na ukikamilika sheria itachukua mkondo wake. Ushaidi wa kotosha upo, lakini wahusika bado wanapeta na bado wanapandishwa vyeo na kupewa nishani.
 
Duh, kila dili la BoT ni ma-bilioni ya shiling,
- EPA 133b
- Twin tower 200b
- na sasa la note 104b

Hayo yote ni kabla ya 2005. Yaliyotokea baada ya hapo na kabla bado hatujasikia na hatujui zitakua bilion ngapi. Bado tunaulizana kwa nini Tanzania ni maskini?
 
Hayo mashitaka wameyatengeneza vizuri lakini? Tusije tukajikuta mtu anaachiwa kisa mashitaka hayajitoshelezi kumtia hatiani.

Mbaya zaidi wengine watashinda kesi na kudai fidia na hivyo kuliingizia taifa hasara za mamilioni kama si mabilioni.
 
Back
Top Bottom