Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
karibu Lowasa chadema if and only if u tell us the truth with evidences kuhusu tuhuma zote dhidi yake.
unamkaribisha nyoka huku umevaa msuli... wa wapi wewe?
karibu Lowasa chadema if and only if u tell us the truth with evidences kuhusu tuhuma zote dhidi yake.
unamkaribisha nyoka huku umevaa msuli... wa wapi wewe?
Tuwe makini sana na hawa magamba wanaokimbilia kwetu, wasije wakawa mamluki
Sasa huyu Lowasa mtamuhoji kuhusu tuhuma zake za ufisadi mkiwa mahakamani ama kwenye ofisi za chama?
Naomba CDM waichukue NEC, CC na Cabinet yote!
Tujipange na Chama chetu.
Naomba CDM waichukue NEC, CC na Cabinet yote!
Tujipange na Chama chetu.