Nyampedawa
Member
- Feb 15, 2011
- 98
- 13
Ole Milya ndo kiongozi wa mtandao wa Lowasa kanda ya Arusha yote. Sasa kama ameipiga chini ujue lazima aondoke na theluthi yake. Safi sana imenikumbusha jinsi shetani alicyokokota theluthi ya malaika alipoasi mbinguni
Dah!! Broda hapo penye nyekundu pananipa taaabu kidogo kumpokea huyu kijana.