BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Nimesikia wananchi walijiandaa na vuvuzela na kuwazomea Fisadi! Fisadi! Fisadi!.... Wapambe wao kwenye system wamewashtua ndio maana wamekacha sherehe
Tina, wanastahili kabisa kuzomewa kwa ufisadi walioifanyia nchi yetu. Hata mimi ningekuwepo kiwanjani kama wangezuka ningekuwa ni miongoni mwa hao wazomeaji. Imefika wakati mafisadi lazima waaibishwe kwa uroho wao wa utajiri kupitia dhamana kubwa waliyokabidhiwa na Watanzania ya uongozi.