Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
Pole sana mkuu. Haikuwa bahati yako. Mimi nimebahatisha kimoja tu though niliwajazia fomu na wanangu wote. Ayway, usiwe na wasiwasi hop kwenye waiting list na jina lako litakuwepo.Hawa jamaa wa manispaa hovyo kabisa. Wanatuuzia form tena unapanga foleni kuanzia saa kumi usiku lakini kiwanja hupati. Huu ni wizi wa mchana kweuupe. Sipendi