ihs
Member
- Jul 24, 2012
- 93
- 68
Wana Jamii,
Tumekua tukiona mwenendo mzima wa ugawaji wa viwanja hapa nchini hususan hapa Dar, umejaa utapeli, unafiki, uzandiki na wizi wa waziwazi. Tunatumika kukusanya hela za wananchi wadogo na wanaopewa viwanja kwa kutumia hizo hela za walalhoi ni watu ambao wana majumba zaidi ya manne, na wengine hawajui hata sebule za nyumba zao nyingine zikoje.
Huu ni udhalimu dhidi ya wananchi wadogo, na hakuna wa kututetea - lazima tukae tukubaliane na tuseme imetosha, la sivyo wajukuu zetu kama si wattoto wetu wote wataishia kua ma houseboy na mahousegirl wa rulling elite.
The rulling elite ya hapa kwetu is trhe most corrupt elite katika africa nzima, ila woga wa wananchi umefanya tuonekane tuna afadhali lakini ni uanfiki mtupu.
Watu wana miliki viwanja mpaka 20 wengine 30, wanaviuza milion 15 mpaka milion 20. Wao hawajalipia chochote, wanafanya biashara ya kuuza watu. Wanatuuza sisi na watoto wetu na wajukuu zetu.
Ingekua sio unafiki wetu, tungewaruhusu wao wakubwa wapimiwe vyakwao kwanza wakishachukua watuachie na sisi wadogo tupate, lakini huu unafiki wa kutuchanganya nao - eti kwa kete ya usawa wa binadamu, utatutafuna mpaka tunaingia kaburini.
The rulling elite are evils, they are not human being like us and they have no empathy at all.
tukusubiri watuonee huruma, utashangaa watatuchinja na damu yetu watoe kafara baharini au kwa baphomet ili wapate kuendelea na mamlaka ya hapa duniani mpaka mwanga wa juu utakavyotuwakia tena.
Wananchi, kama tukishindwa kupambana na huu udhalimu - basi angalau tuanze kuchonga majeneza yetu. Tusifikirie tutazikwa wapi, kiwanja cha kuzikiwa hutopata. Anyway, it doesn,t matter at all.
Illuminati never lies, they rely on great deception and we are the one who perceives it to be the reality. Whose to blame?
The Great and brutal fascism state and colonialisim in this country is yet to come. The rulling elite are not yet big eneough to burst.
Aluta Continua!
Tumekua tukiona mwenendo mzima wa ugawaji wa viwanja hapa nchini hususan hapa Dar, umejaa utapeli, unafiki, uzandiki na wizi wa waziwazi. Tunatumika kukusanya hela za wananchi wadogo na wanaopewa viwanja kwa kutumia hizo hela za walalhoi ni watu ambao wana majumba zaidi ya manne, na wengine hawajui hata sebule za nyumba zao nyingine zikoje.
Huu ni udhalimu dhidi ya wananchi wadogo, na hakuna wa kututetea - lazima tukae tukubaliane na tuseme imetosha, la sivyo wajukuu zetu kama si wattoto wetu wote wataishia kua ma houseboy na mahousegirl wa rulling elite.
The rulling elite ya hapa kwetu is trhe most corrupt elite katika africa nzima, ila woga wa wananchi umefanya tuonekane tuna afadhali lakini ni uanfiki mtupu.
Watu wana miliki viwanja mpaka 20 wengine 30, wanaviuza milion 15 mpaka milion 20. Wao hawajalipia chochote, wanafanya biashara ya kuuza watu. Wanatuuza sisi na watoto wetu na wajukuu zetu.
Ingekua sio unafiki wetu, tungewaruhusu wao wakubwa wapimiwe vyakwao kwanza wakishachukua watuachie na sisi wadogo tupate, lakini huu unafiki wa kutuchanganya nao - eti kwa kete ya usawa wa binadamu, utatutafuna mpaka tunaingia kaburini.
The rulling elite are evils, they are not human being like us and they have no empathy at all.
tukusubiri watuonee huruma, utashangaa watatuchinja na damu yetu watoe kafara baharini au kwa baphomet ili wapate kuendelea na mamlaka ya hapa duniani mpaka mwanga wa juu utakavyotuwakia tena.
Wananchi, kama tukishindwa kupambana na huu udhalimu - basi angalau tuanze kuchonga majeneza yetu. Tusifikirie tutazikwa wapi, kiwanja cha kuzikiwa hutopata. Anyway, it doesn,t matter at all.
Illuminati never lies, they rely on great deception and we are the one who perceives it to be the reality. Whose to blame?
The Great and brutal fascism state and colonialisim in this country is yet to come. The rulling elite are not yet big eneough to burst.
Aluta Continua!