mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
CCM ndio wazee wa foul plays lakini CDM ina team ya wanasheria waliobobea watacome out hata kama mitego hiyo imeandaliwa maana CCM wao ni kutegemea zaidi utawala, tuliona Mwanza walitangazana na Mk we re kuwa Lau ni Mbunge mwisho wa siku wakaangukia pua! The same will apply in Igunga