Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 437
je document zilizomuhalalisha zipo na zipo valid hadi sasa?Kila ilivyo, wanasheria wazipuuze hata chembe ya factor yoyote inayoweza kutumiwa kumkwamisha mgombea, otherwise muda hautatosha kujitetea mahakamani kama ilivyokuwa kwa Wenje kule Mwanza, uchaguzi ule ulikuwa wa miezi mitatu lakini huu utakuwa wa wiki tatu tu, mahakama ikimaliza kusikiliza rufaa kabla haijatoa uamuzi uchaguzi utakuwa umekwisha, ngoma itabidi ije ianze upya! Mgombea wa cdm wasifu wake asiyajuwe kweli hayo.? Wametumwa waratibu kule kwa hiyo jimbo moja macho yako pale ufanyike upuuziiiii kama huwo patachimbika waraiiiii