Vigezo vinavyotumika kuteua ukuu wa mkoa au Wilaya: Je kuna Udini?

Ujue vigezo ili? hao wanateuliwa kwa kuwa wako kwenye meza ya bwana ,vile muhusika wa kuwateua atavyovutiwa na mtu basi anamuweka kwenye position.lakini kuna wengine hasa wa kike wanawekwa kwenye position ili iwe rahisi kuwaiba(porojo)
 
king of king kama walivyosema wengi ulivyo uliza swali na hasa hasa unapoweka dini tayari unakuwa umeharibu , labda ka imetokea kitu amacho kitaendana na tukio la dini kwa wakati huo , basi utapata wachangiaji, wenye point kutokana na swali lako nk. sasa tukirudi kwenye swali lako ni kwamba hakuna criteria ya sifa za mkuu wa moa au wa wilaya zaidi yakujuana na wahusika ambao ndio wapiga gita kwa wakati huo nao ni raisi, waziri mkuu na washabiki wao wawe wakichama, kifamilia, kimahusiano kirafiki, kifiasaidi, kisera na vitu vinavyo enda na hivyo, tukisema dini tutakuwa hatu mtendei haki anaye teu mpaka pale itakapo tokea tukio ambalo unaweza kulihusisha na dini/nasaba na mengineyo.
 
Yaani mnajidili mada ya udini iliyoletwa na mdini. Jina lake tu linaonyesha jinsi gani alivyoweka dini yake mbele kushinda kitu kingine chochote hata Utanzania wake (usshangae mtu kama huyu akajiona yeye ni mzalendo kuliko watanzania wengine wote). Ni wazi mtu kama huyu hawezi kujisikia comfortable anapoona majina yasiyoshabihiana na dini yake popote pale kwani kwake yeye dini ni IDENTITY na sio FAITH hivyo badala ya kufuatilia mafunzo ya dini yake yanayomfunza kuishi vyema na "wengine" kwake yeye DINI ni muudno mbinu wa kufanikisha ushindani wake dhidi ya hao anaoamini kuwa ni "wengine".

Ndio Tanzania ya usasa hiyo.....
 
Yaani mnajidili mada ya udini iliyoletwa na mdini. Jina lake tu linaonyesha jinsi gani alivyoweka dini yake mbele kushinda kitu kingine chochote hata Utanzania wake (usshangae mtu kama huyu akajiona yeye ni mzalendo kuliko watanzania wengine wote). Ni wazi mtu kama huyu hawezi kujisikia comfortable anapoona majina yasiyoshabihiana na dini yake popote pale kwani kwake yeye dini ni IDENTITY na sio FAITH hivyo badala ya kufuatilia mafunzo ya dini yake yanayomfunza kuishi vyema na "wengine" kwake yeye DINI ni muudno mbinu wa kufanikisha ushindani wake dhidi ya hao anaoamini kuwa ni "wengine".

Ndio Tanzania ya usasa hiyo.....

Mkuu unachosema ni kweli kabisaaa
 
WanaJF naomba mnisadie ni vigezo gani vinatumika katika uteuzi huu

Ni vema umeleta hili jamvini ingawa kuna mengi yanayofanana na hili yalishapata kujadiliwa ktk siku za awali.

Nadhani ktk larger picture, tunatakiwa kupinga kwa ujumla wake hii dhana ya kuteuana, ni dhana backward sana...na ina-display uswahili at best.

Ukianza kuuliza vigezo utakuwa tayari umezama kwenye subjectivity ambayo unai-question.
 
Back
Top Bottom