Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,412
- 52,064
- Thread starter
- #41
Mnapigana vita tena
Yeye anasema Bikra ndio kila kitu. Mimi nakataa
Mnapigana vita tena
Kwani unadhani hawezi kuwapata hao sealed, au hajui hilo? Sijui kwanini watu mnapenda kuleta hoja zenu binafsi kwenye maamuzi binafsi ya maisha ya wengine...
Nimeshasema sisi kigezo chetu kikuu ni upendo na tunapendana sana, period.
Utopia
Bikra sio hoja binafsi,Upendo wake kwako umefunika hicho kigezo na hio imetosha kama ulivyosema , kila kheriKwani unadhani hawezi kuwapata hao sealed, au hajui hilo? Sijui kwanini watu mnapenda kuleta hoja zenu binafsi kwenye maamuzi binafsi ya maisha ya wengine...
Nimeshasema sisi kigezo chetu kikuu ni upendo na tunapendana sana, period.
Mpka naelekea kuzeeka sijawah kutoa bikra , huwa naaanzia level 2 to infinity , sijui vijana huwa wanazitoa mda gan
Uko sahihi.Hakuna upendo usiokuwa na masharti/sheria.
Msingi mkuu wa upendo ni sheria popote Pale
Nakazia, lazima uoe mwanamke anayekuvutia kwa uzuri wakeMwanamke sifa yake kuu ni uzuri
Hii inaitwa kutikisa soko. Yaani vurugu tupu. Mi nasema olewa na umpenddaye na anakupendaAwe bikra hapo hapo awe” mzuri” na awe na kazi (Kipato). Ningekuambia kitu ila basi tu.
Ila mnatukoroga sisi ma jobless, jana tu si mmetoka kusema mwanamke mwenye kazi ni mwanaume mwenzenu muoe ambaye hana kazi?
Amehlo tujipange upya sasa😂😂
Nadhani anazungumzia bikra ya kutengeneza( kutia ndimu)Sawa tuanzie kwenye Bikra.
Kila mwanamke anazaliwa bikra si ndio?
Ila mazingira ndio yanapunguza au kuongeza chance ya hiyo bikra kuendelea kuwepo.
Binti akiwa mzuri chance ya ku survive na hiyo bikra hadi ndoa inapungua sana kwa asilimia kubwa. Unajua kwanini?? Kwa sababu nyie wanaume mkiona mtoto mzuri tu baaasiii, mnatumia mbinu zote za “kitibeli” mpaka muonje. Binti mzuri anazungukwa na vishaWishi vingi sana kuanzia shuleni (walimu) kwenye nyumba za ibada hadi mtaani. Kila mtu anataka aonje.
Unasema tena awe na kazii😂😂😂. Hapo uwezekano wa hiyo bikra kuendelea kuwepo ni ya kusaka kwa manati. Mabosi wenyewe ndio hawa hawa???😂😂😂 Tena mtoto ni mzuri??
Wewe oa jobless tu
Enhee sijaamini kama nishakuwa jimama 🤣Duh vitoto apana kwa kwel ,majimama ya 90- 99 ni minato zaidi kuliko hivi vitoto vya 2000 .
Uko sahihi.
Upendo is directly proportional to Utii. Utii unatokana na sheria.
Mwanamke asiyekutii hakupendi.
Utii ni ishara mojawapo kuu ya Upendo ikifuatwa na Uvumilivu.
Its like searching for the diamond in charcoal pile, searching for the angel in devils' town.
Bikra Mrembo mwenye Kipato😅🤣, Ebe tuzungumze vinavyowezekana kwanza.
Ukitaka kuoa kua karibu na Mungu
Ndio Mungu kakuleta hapa duniani na anamipango mizuri kwako . Na moja na hilo ni ndoa njema kwani kabla hujaoa unaweza kupima afya na kupima kama anaweza pokea mimba ??? Na tabia huwezi kumpima kama anaweza kuwa msikivu na mwenye tabia njema, kipato cha nini mwananke ni yule mwenye akili na utambuzi sahihiSawa mama mchungaji
Mwaka huu mwendo wakuwavuruga tuu.Awe bikra hapo hapo awe” mzuri” na awe na kazi (Kipato). Ningekuambia kitu ila basi tu.
Ila mnatukoroga sisi ma jobless, jana tu si mmetoka kusema mwanamke mwenye kazi ni mwanaume mwenzenu muoe ambaye hana kazi?
Amehlo tujipange upya sasa
Kaka, kuna mambo mengine yanamuhitaji Mungu tu na bahati na malezi aliyopewa mwanamke na wazazi wake, asiwe na traumatic child experience Ili mwanamke asiye bikra awe mvumilivu kwa mwanaume wake ambaye hakuitoa bikra. Naelewa bikra ni spiritual bond kabisa .Hapo penye uvumilivu ndipo pagumu.
Sasa binti miaka 17 hana Bikra huo uvumilivu atakuwa nao