Kenya hakuna A level ndugu!
Japo sasa hivi wapo mbioni kuadopt mfumo wa 2-6-6-3 yaani miwili elimu ya awali, sita msingi, sita sekondari (3junior sec na 3 senior sec) halafu 3 elimu ya juu.Kenya hakuna A Level, ukimaliza O Level(wao wanaziita HIGH SCHOOL) unaruka Chuo Kikuu mazima. Muundo wao wa elimu ni 8-4-4
ukisoma nje ya nchi sahau kupata mkopo,,, kenya Hakuna A level ,,,,pia ukisoma O level Tanzania ukienda Kenya unainzia form Three,,,,,, ukisoma secondary Kenya ukija Tz unaingia chuo kikuu
Japo sasa hivi wapo mbioni kuadopt mfumo wa 2-6-6-3 yaani miwili elimu ya awali, sita msingi, sita sekondari (3junior sec na 3 senior sec) halafu 3 elimu ya juu.