Vifo vyafikia 80 huku ISIS waki-claim kufanya ugaidi huo Urusi.

Sio mara ya kwanza kutokea. Mwaka 2002 wachechen waliwahi teka theatre iliyojaa watu hapo hapo Moscow Watu wengi walikufa.
Hivi ile walioteka kanisa ndio hii unayozungumzia au...huko ishu ya Uchaguzi haijakaa sawa na Putin anajaribu kuizima ingawaje ulinzi hana kwa raia wake yupo busy na vita...
 
Hivi ile walioteka kanisa ndio hii unayozungumzia au...huko ishu ya Uchaguzi haijakaa sawa na Putin anajaribu kuizima ingawaje ulinzi hana kwa raia wake yupo busy na vita...
Hii ilikuwa ya kwenye theatre, wanakofanyia maonesho yao nafikiri pamoja na mambo ya opera na music concerts.

...On 23 October 2002, 40 Chechen militants headed by warlord Movsar Barayev took 912 hostages at the Dubrovka Theatre in Moscow, where the popular musical Nord-Ost was showing.
Three days later Russian security services pumped sleeping gas into the hall, stormed it and killed all the attackers.
But some 130 hostages died - most not at the hands of the gunmen and women, but apparently because of the effects of the gas...

From BBC
 
1. Hamas
Freedom fighters wa Palestine, hawa wanadili na Israel iliyo vamia makazi yao. Hadi kwenye vikao vya UN wanatambulika.

2. Al Shabaab
Hawa wapo kisiasa wanataka madaraka, walianza kushabulia Kenya baada ya kenya kuingilia yasiyowahusu.

3. ADF in kundi kama M23

4. Boko Haram.
kwanza wapo Nigeria ya kaskazini ambapo kuna waislam wengi.
Hawa wanashambulia misikiti na kuuwa waislam, wanateka wasichana wakiislamu mamia kwa mamia na kuwaka na kuwauwa.
Wana shambuli maeneo yenye mIkusanyiko huko North Nigeria na kuuwa waislamu..

5.ISIS.
Hawa ndiyo washenzi kabisa, popote utakapowasikia ujie kuna mali.
Waliwahi kufika hadi Msumbiji kwenye maeneo ambayo kunatarajiwa kuchimba mafuta.
Hawa utasikia wakijinadi kwa kuhusika na milipuko moaikini huko iraq.
Hawa wana maliza waislam huko Syria.

Hakuna Muislamu Gaidi, hata wewe naamini hivyo pia.
ISIL
 
1. Hamas
Freedom fighters wa Palestine, hawa wanadili na Israel iliyo vamia makazi yao. Hadi kwenye vikao vya UN wanatambulika.

2. Al Shabaab
Hawa wapo kisiasa wanataka madaraka, walianza kushabulia Kenya baada ya kenya kuingilia yasiyowahusu.

3. ADF in kundi kama M23

4. Boko Haram.
kwanza wapo Nigeria ya kaskazini ambapo kuna waislam wengi.
Hawa wanashambulia misikiti na kuuwa waislam, wanateka wasichana wakiislamu mamia kwa mamia na kuwaka na kuwauwa.
Wana shambuli maeneo yenye mIkusanyiko huko North Nigeria na kuuwa waislamu..

5.ISIS.
Hawa ndiyo washenzi kabisa, popote utakapowasikia ujie kuna mali.
Waliwahi kufika hadi Msumbiji kwenye maeneo ambayo kunatarajiwa kuchimba mafuta.
Hawa utasikia wakijinadi kwa kuhusika na milipuko moaikini huko iraq.
Hawa wana maliza waislam huko Syria.

Hakuna Muislamu Gaidi, hata wewe naamini hivyo pia.
Wanasema shahada za,
Wanaswali sala tano,
Wanaua kwa jina la Allah,
Ni waislamu.
Kuutetea uislam inhitaji uondoe.mshipa wa aibu..
 
Wanasema shahada za,
Wanaswali sala tano,
Wanaua kwa jina la Allah,
Ni waislamu.
Kuutetea uislam inhitaji uondoe.mshipa wa aibu..
Not logical...
Boko Haramu wana baka waislam kwajina la allah, Boko haram wanalipua misikiti na maenei mengine ya waislamu kwa jina la allah, wahanga wa vitendo vya Boko Haram ni waislamu wa Nigeria Kaskazini.
Operation kubwa za ISIS ni kwenye mataifa ya Kiislam, wana ua waislam.
Alafu wewe unasema hao Magaidi ni waisla kwa kigezo cha muonekano.

Jifunze kuhusu Propaganda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom