Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,977
- 32,282
Asante kwa ufafanuzi mkuuRegional Police Commander NOT Commissioner
Asante kwa ufafanuzi mkuuRegional Police Commander NOT Commissioner
Ni superintendent anavaa mwenge begani, senior superintendent anavaa mwenge begani na nyota wengi wao ndio maOCD,OCCIDMrakibu ndiyo kitu gani
🙏Ni superintendent anavaa mwenge begani, senior superintendent anavaa mwenge begani na nyota wengi wao ndio maOCD,OCCID
Chief lukosi mzee wa dungu uliacha nyoya ukiwa na cheo kipiNi kweli, unaanza na PC lakini baada ya miezi sita unakwenda officers course kubeba jiwe
Hapo kwenye RTO umetudanganya..RTO anaweza akawa yeyote wa kuanzia nyota tatu, SP au SSP.pia RCO anaweza akawa yeyote wa cheo cha kuanzia SP na kuendelea.ninae ndugu yangu ni RTO mkoa flañi ana cheo cha SP.Na kimsingi huwezi kuwa RPC, RCO,RTO kama huna cheo kuanzia Assistant Commissioner of police yaani ACP kwenda juu.
-uwe na Cheo Cha Assistant Superintendent (asp) halafu uwe RTO? Huyo ni DTO (Wa wilaya) haiwezekani ASP awe RTO napingaHapo kwenye RTO umetudanganya..RTO anaweza akawa yeyote wa kuanzia nyota tatu, SP au SSP.pia RCO anaweza akawa yeyote wa cheo cha kuanzia SP na kuendelea.ninae ndugu yangu ni RTO mkoa flañi ana cheo cha SP.
Sitaki ubishi.tufanye umeshinda..-uwe na Cheo Cha Assistant Superintendent (asp) halafu uwe RTO? Huyo ni DTO (Wa wilaya) haiwezekani ASP awe RTO napinga
-
- kwa Sasa hivi vyeo vya kuanzia ACP ni vingi Sana kwenye Jeshi la Police, hivyo ni vigumu Sana kupata RCO Kwa SP, at least SSP Kama yule Mpelelezi mkuu wa kesi ya mauji ya aneth msuya (SSP David Mhanaya)
- Huyo ndugu Yako ambaye ni RTO na ni SP atakuwa anakaimu na likely muda sio mrefu atashushwa kuwa either OCCID,au OCD
Inaonekana mkuryaSitaki ubishi.tufanye umeshinda..