Habarini ndugu zangu.
Kuna saloon inauzwa ipo Kimara B Kwa Komba (karibu na Stopover), kama huitaji kununua saloon yote then unaweza kununua kitu utakachohtaji. Kinyozi wangu aliekua hasumbui kweny hesabu amehamia mkoani ili kuwa karbu aweze kumuuguza mama yake, namm pia nahamia mkoani kikazi.
Saloon ina:
1. Kiti cha kukalia anaenyolewa 40K
2. Kiti cha kukaa wateja wa 3 wanaosubiri kunyolewa 80K
3. Mashine mbili za kunyolea Moja 50 Nyingne 80K
4. Vioo viwili vikubwa (mbele na nyuma) Kila kioo ni 120K
5. Mlango mzuri wa Alminium 220K
4. Vitambaa viwili vya kumfunikia mteja (Bure)
5. Feni (Bure)
6. Vitu vingne (Dustbin, fagio, tools za mashine n.k) vyote ni bure
Ukichukua vyote kwa pamoja nahtaji 500K tu.
NB: Hakuna dalali, muhusika ni mm mwenyewe.
Karibuni.
Mawasiliano: 0783 242247
Kuna saloon inauzwa ipo Kimara B Kwa Komba (karibu na Stopover), kama huitaji kununua saloon yote then unaweza kununua kitu utakachohtaji. Kinyozi wangu aliekua hasumbui kweny hesabu amehamia mkoani ili kuwa karbu aweze kumuuguza mama yake, namm pia nahamia mkoani kikazi.
Saloon ina:
1. Kiti cha kukalia anaenyolewa 40K
2. Kiti cha kukaa wateja wa 3 wanaosubiri kunyolewa 80K
3. Mashine mbili za kunyolea Moja 50 Nyingne 80K
4. Vioo viwili vikubwa (mbele na nyuma) Kila kioo ni 120K
5. Mlango mzuri wa Alminium 220K
4. Vitambaa viwili vya kumfunikia mteja (Bure)
5. Feni (Bure)
6. Vitu vingne (Dustbin, fagio, tools za mashine n.k) vyote ni bure
Ukichukua vyote kwa pamoja nahtaji 500K tu.
NB: Hakuna dalali, muhusika ni mm mwenyewe.
Karibuni.
Mawasiliano: 0783 242247