Vifaa vya saloon vinauzwa

Herry jr

Member
Oct 16, 2020
74
131
Habarini ndugu zangu.

Kuna saloon inauzwa ipo Kimara B Kwa Komba (karibu na Stopover), kama huitaji kununua saloon yote then unaweza kununua kitu utakachohtaji. Kinyozi wangu aliekua hasumbui kweny hesabu amehamia mkoani ili kuwa karbu aweze kumuuguza mama yake, namm pia nahamia mkoani kikazi.

Saloon ina:
1. Kiti cha kukalia anaenyolewa 40K
2. Kiti cha kukaa wateja wa 3 wanaosubiri kunyolewa 80K
3. Mashine mbili za kunyolea Moja 50 Nyingne 80K
4. Vioo viwili vikubwa (mbele na nyuma) Kila kioo ni 120K
5. Mlango mzuri wa Alminium 220K
4. Vitambaa viwili vya kumfunikia mteja (Bure)
5. Feni (Bure)
6. Vitu vingne (Dustbin, fagio, tools za mashine n.k) vyote ni bure

Ukichukua vyote kwa pamoja nahtaji 500K tu.

NB: Hakuna dalali, muhusika ni mm mwenyewe.

Karibuni.

Mawasiliano: 0783 242247
IMG-20221201-WA0215[1].jpg
IMG-20221201-WA0210[1].jpg
IMG-20221201-WA0209[1].jpg
IMG-20221201-WA0218[1].jpg
 
Kodi ulikuwa unalipa bei gani?je mzunguko wa wateja ukoje?
 
Habarini ndugu zangu.

Kuna saloon inauzwa ipo Kimara B Kwa Komba (karibu na Stopover), kama huitaji kununua saloon yote then unaweza kununua kitu utakachohtaji. Kinyozi wangu aliekua hasumbui kweny hesabu amehamia mkoani ili kuwa karbu aweze kumuuguza mama yake, namm pia nahamia mkoani kikazi.

Saloon ina:
1. Kiti cha kukalia anaenyolewa 40K
2. Kiti cha kukaa wateja wa 3 wanaosubiri kunyolewa 80K
3. Mashine mbili za kunyolea Moja 50 Nyingne 80K
4. Vioo viwili vikubwa (mbele na nyuma) Kila kioo ni 120K
5. Mlango mzuri wa Alminium 220K
4. Vitambaa viwili vya kumfunikia mteja (Bure)
5. Feni (Bure)
6. Vitu vingne (Dustbin, fagio, tools za mashine n.k) vyote ni bure

Ukichukua vyote kwa pamoja nahtaji 500K tu.

NB: Hakuna dalali, muhusika ni mm mwenyewe.

Karibuni.

Mawasiliano: 0783 242247View attachment 2436565View attachment 2436568View attachment 2436569View attachment 2436570
Ngoja tucheki wadau...
 
Habarini ndugu zangu.

Kuna saloon inauzwa ipo Kimara B Kwa Komba (karibu na Stopover), kama huitaji kununua saloon yote then unaweza kununua kitu utakachohtaji. Kinyozi wangu aliekua hasumbui kweny hesabu amehamia mkoani ili kuwa karbu aweze kumuuguza mama yake, namm pia nahamia mkoani kikazi.

Saloon ina:
1. Kiti cha kukalia anaenyolewa 40K
2. Kiti cha kukaa wateja wa 3 wanaosubiri kunyolewa 80K
3. Mashine mbili za kunyolea Moja 50 Nyingne 80K
4. Vioo viwili vikubwa (mbele na nyuma) Kila kioo ni 120K
5. Mlango mzuri wa Alminium 220K
4. Vitambaa viwili vya kumfunikia mteja (Bure)
5. Feni (Bure)
6. Vitu vingne (Dustbin, fagio, tools za mashine n.k) vyote ni bure

Ukichukua vyote kwa pamoja nahtaji 500K tu.

NB: Hakuna dalali, muhusika ni mm mwenyewe.

Karibuni.

Mawasiliano: 0783 242247View attachment 2436565View attachment 2436568View attachment 2436569View attachment 2436570
Viti ungeweza na picha pia ingependeza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom