Vifaa vya mgahawa bei poaaaa!!!!

aghassany

Member
Oct 9, 2011
57
1
WAKUU,

Nimefunga mgahawa wangu na ninauza vifaa kama vifuatavyo na vimetumika miezi 6. List ni kama ifuatavyo:


1. GAS GRIDDLE 3 BURNER
2. GAS GRIDDLE 2 BURNER
3. FRYER
4. ORYX GAS TOP COOKER
5. COMMERCIAL EXHAUST FAN
6. WALL FAN
7. FRIDGE WITH FREEZER
8. OPEN WELCOME LED LIGHT BOARD
9. KILL PEST
10. TABLE.


NAUZA VITU VYOTE KWA PAMOJA BEI: 3M

NI PM KAMA UNAHITAJI NA UKO SERIOUS.
 

Attachments

  • 05122011409.jpg
    05122011409.jpg
    230.8 KB · Views: 268
  • 05122011408.jpg
    05122011408.jpg
    274.5 KB · Views: 240
  • 05122011407.jpg
    05122011407.jpg
    297.8 KB · Views: 211
  • 05122011406.jpg
    05122011406.jpg
    284 KB · Views: 188
  • 05122011405.jpg
    05122011405.jpg
    301.9 KB · Views: 215
  • 05122011410.jpg
    05122011410.jpg
    387 KB · Views: 223
  • 05122011411.jpg
    05122011411.jpg
    334.8 KB · Views: 194
  • 05122011412.jpg
    05122011412.jpg
    405.6 KB · Views: 253
  • 05122011413.jpg
    05122011413.jpg
    316.9 KB · Views: 195
  • 05122011418.jpg
    05122011418.jpg
    392.6 KB · Views: 180
  • 05122011419.jpg
    05122011419.jpg
    322.5 KB · Views: 178
  • 05122011420.jpg
    05122011420.jpg
    393 KB · Views: 198
  • 05122011421.jpg
    05122011421.jpg
    393 KB · Views: 178
  • 05122011422.jpg
    05122011422.jpg
    427.3 KB · Views: 174
Bei yako iko juu sana, china kitchen set ya restaurant ndogo unapata for $ 3,000 na hapo kunakuwa na vifaa vingi sana included, hivi vifaa vyako hata $ 600 haifiki.
 
Bei yako iko juu sana, china kitchen set ya restaurant ndogo unapata for $ 3,000 na hapo kunakuwa na vifaa vingi sana included, hivi vifaa vyako hata $ 600 haifiki.

Hapa tuko bongo sio china. Nenda ulizia hivo vifaa hapa wanauzaje...
 
Mkuu uko wapi-mkoa? Dooh hapa ukiuza kitu JF inabidi uwe na roho ngumu kama ya paka unaweza kutukana bila kukusudia!
 
Tarehe 5/12 ulianza hivi, angalia RED

WAKUU,

Nimefunga mgahawa wangu na ninauza vifaa kama vifuatavyo na vimetumika miezi 6. List ni kama ifuatavyo:


1. GAS GRIDDLE 3 BURNER
2. GAS GRIDDLE 2 BURNER
3. FRYER
4. ORYX GAS TOP COOKER
5. COMMERCIAL EXHAUST FAN
6. WALL FAN
7. FRIDGE WITH FREEZER
8. OPEN WELCOME LED LIGHT BOARD
9. KILL PEST
10. TABLE.


NAUZA VITU VYOTE KWA PAMOJA BEI: 3M

NI PM KAMA UNAHITAJI NA UKO SERIOUS.



Baada ya siku moja yaani tarehe 6/12 ukaja na hii

Naona mumekomaa. Haya na hii mushindwe 2.3 M for everything...


For less than 12hrs ulikuwa unataka kuwaibia watanzania wenzako takribani sh. laki saba 700,000.

Vifaa vyako gharama yake si zaidi ya million moja na laki mbili 1,200,000, otherwise endelea tuu na restaurant yako
 
Tarehe 5/12 ulianza hivi, angalia RED





Baada ya siku moja yaani tarehe 6/12 ukaja na hii




For less than 12hrs ulikuwa unataka kuwaibia watanzania wenzako takribani sh. laki saba 700,000.

Vifaa vyako gharama yake si zaidi ya million moja na laki mbili 1,200,000, otherwise endelea tuu na restaurant yako

Silence is a good answer or a F***.... Kama unaona nilitaka kuwaibia hayaa... njoo uone risiti nilivonunulia mimi alafu utajua kama nimetaka kuwaibia au vp... Anyways anaetaka atanunua asietaka basii hatulazimishani hapa...
 
Silence is a good answer or a F***.... Kama unaona nilitaka kuwaibia hayaa... njoo uone risiti nilivonunulia mimi alafu utajua kama nimetaka kuwaibia au vp... Anyways anaetaka atanunua asietaka basii hatulazimishani hapa...

Scan receipt uiweke hapa ili umtoe jamaa nishai....mimi nina 1.3M
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom