Uzima Tele
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 1,104
- 2,345
Kwa ufupi na kwa uchache;
"Inashangaza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anahubiri amani, uzalendo na utulivu huku akisahau neno HAKI Kwa makusudi. Pengine hajui kuwa hayo yote ni tunda la HAKI. Bila haki, hakuna yote hayo!"
"Kuhusu Rais kuita katiba ya JMT kama kitabu tu kama vitabu vingine alikosea. Kauli hiyo ingetolewa na Mwenyekiti wa Kijiji au serikali ya mtaa au balozi wa nyumba kumi isingeshangaza. Lakini kutolewa na Rais, basi ni dharau na bila shaka kuna shida mahali.."
"..Sioni substance wala contents zozote kwenye hotuba zote za Rais Samia Suluhu Hassan"
"Na Rais kwenye ziara zake hajasema lolote kuhusu mkataba mbovu wa bandari. Ni Kwa sababu hata yeye mwenyewe hana majibu ya jambo hili"
Nẞ:
##Tunaomba "wasiojulikana au michawa ya mama", msije makamvizia na kumjibu hoja za Binti huyu kwa risasi kwa maana CCM ya siku hizi ni wauji na majambazi matupu yasiyoweza kujibu hoja yoyote kinzani dhidi yao...
Na hapa kiukweli kabisa, dada huyu kamsiliba kwelikweli mama yenu mpaka huko aliko pengine akakosa usingizi kabisa leo...!
Credit & Courtesy to Jambo TV