Imekuwaje hukutupatia mpango kazi wa namna utakavyoyatatua matatizo uliyoyaorodhesha? By the way kwanini unafikiri kigezo kikubwa cha kuwa Rais ni kuzaliwa kwenye familia maskini kama yako?
Tumechoka watu wanaolalamikalalamika na kututajia matatizo yetu kila siku, tunahitaji watu wanaotuambia tukiwapa ridhaa ya kutuongoza watayatatuaje matatizo tuliyokuwa nayo.
Kweli katika watia nia wote waliozungumza wewe ni the best!!kwa kipaji cha kuongea unacho,hadi sasa unaongoza,ila matatizo uliyoya ainisha ni very common,yanakulikana,tunayaishi kila siku,tunahubiriwa kila mara,na kama wenyewe mnavyokiri matatizo yote hayo yametokana ama na madhaifu ya ccm ama ujasiri wa watendaji wa ndani ya ccm,sasa wewe utajitengaje na mfumo huo huo uliokulea wewe pamoja na matatizo hayo?yaani ni kama wewe na hayo matatizo uliyotuainishia ni watoto wa baba mmoja,ccm!!
Wewe dogo uliharibu CV yako pale ulipotupa na kusigina bajeti ya wapinzani kisa JK alikuvimbisha kichwa, ona sasa unaomba kura hata za wapinzani uliosigina bajeti yao, mimi siwezi kukuchagua na hotuba yakom sikuisikiliza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.