CHADEMA
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 488
- 2,468
Sehemu ya hotuba ya Mwenyekiti wa Taifa, Freeman Mbowe akifungua kikao cha Kamati Kuu kinachofanyika jijini Dar es Salaam kwa siku 2, Julai 18-19, 2014.
Hotuba ya Mwenyekiti ilijikita katika mchakato wa Katiba Mpya, tulikotoka, tulipo na tunakopaswa kuelekea.
Hotuba ya Mwenyekiti ilijikita katika mchakato wa Katiba Mpya, tulikotoka, tulipo na tunakopaswa kuelekea.
Last edited by a moderator: