Yeah, Wamasai hawatakiwi kuzuiwa, hao wakiingiza ng'ombe shambani kwako inabidi uwaangalie tu, usiwaguse. Waache wakitosheka wataondoka wenyewe...MaeWaulize watu waliojaribu to deal with Maasai huko vijijini Tanga kilichowakuta,
Wanakuja kundi wanatembeza kichapo wanahama mkoa pori to pori
Kwanini usiseme tu kwamba aliyeingiza ng'ombe shambani arushwa kichura? Kulikuwa ma ulazima gani wa kuandika "Masai?"Mwanaume mmoja wa kabila la Kimasai ameonekana akirushwa kichura chura baada ya kuvamia shamba la watu.
View attachment 2899418
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
HAwana lolote wana akili km ng'ombe.Waulize watu waliojaribu to deal with Maasai huko vijijini Tanga kilichowakuta,
Wanakuja kundi wanatembeza kichapo wanahama mkoa pori to pori
Wadharau wamasai ukiwa mjini....kutana nao Shamba uwazingue utaisoma, Tanga walichoma nyumba ya mtu na kusepa zaoYeah, Wamasai hawatakiwi kuzuiwa, hao wakiingiza ng'ombe shambani kwako inabidi uwaangalie tu, usiwaguse. Waache wakitosheka wataondoka wenyewe...Mae
Tanga ndiyo sehemu ya kutolea mfano kweli mkuu? Hukohuko Porini kuna Kabila wanaitwa Wasonjo, wamezungukwa na Wamasai pande zote katikati porini lakini kila wakati wamasai walipojaribu kuliamsha waliishia kulambishwa michanga na kukimbia wakisahau hadi lubega, tena hapo waliitana hadi wale wa kule, Kenya, Kiteto ma Simanjiro.Wadharau wamasai ukiwa mjini....kutana nao Shamba uwazingue utaisoma, Tanga walichoma nyumba ya mtu na kusepa zao