Angekuwa Mwekezaji tungempa Sasa huyo ni choko tuuHakuna binadamu anaependa Vita wala kubebeshwa silaha, huyu kijana toka Uingereza ameamua kuukana Uraia wake na kumuomba Rais Samia ampatie Uraia wa Tanzania.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2890507
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Huko uingereza alihamia tu, si mwingereza wa asili.SHakuna binadamu anaependa Vita wala kubebeshwa silaha, huyu kijana toka Uingereza ameamua kuukana Uraia wake na kumuomba Rais Samia ampatie Uraia wa Tanzania.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2890507
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Yule mwenyekiti wa CCM huko Mwanza alipokuwa anapigia chapuo DP WORLD alisema wanatak kuchanganya rangi, ni muda muafaka kwa huyu sasa kuchukuliwa na wasukuma akawape mbegu nyeupe.Hakuna binadamu anaependa Vita wala kubebeshwa silaha, huyu kijana toka Uingereza ameamua kuukana Uraia wake na kumuomba Rais Samia ampatie Uraia wa Tanzania.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2890507
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Huyu aliwahi kuhojiwa na mtandao fulani huko YouTube akadai kuwa mama yake ni mzungu wa Uingereza na baba yake ni mwarab wa Misri aliehamia Uingereza miaka mingi iliyopita.H
uko uingereza alihamia tu, si mwingereza wa asili.
Ana furaha sana na Tanzania...dogo apewe uraia
Labda alitoroka hukohuko UrusiH
uko uingereza alihamia tu, si mwingereza wa asili.
Mkuu, Anaishi nchini kama mwekezaji au mtalii?Huyu aliwahi kuhojiwa na mtandao fulani huko YouTube akadai kuwa mama yake ni mzungu wa Uingereza na baba yake ni mwarab wa Misri aliehamia Uingereza miaka mingi iliyopita.
Aliwahi kuishi Malawi na baadae kuhamia Tanzania.
Alisema anatamani kupata mtoto mzuri wa kiswahili alietulia ili akamtolee posa amuowe.
Alidai alikuja Afrika kupambania haki za watoto kama vile ukeketaji, watoto wa kike kufungishwa ndoa wakiwa wadogo, uteswaji wa watoto nk.Mkuu, Anaishi nchini kama mwekezaji au mtalii?