Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,501
Nani huyo?acha tu ngada kitu kingine na anayemmaliza kumpa ngada ni yule anaejiita tajiri wa roho
Nani huyo?acha tu ngada kitu kingine na anayemmaliza kumpa ngada ni yule anaejiita tajiri wa roho
hayo hayo yale meupeMadawa gani mkuu yale yanayotolewa bure hospitalini?
jamani wema kachoka kweli umri unaenda
jamani jamani bora uwe natural tu hata mafuta ya kupikia unapaka mtu hajui.. kweli anahaaribikamiss chagga Siyo umri tu unaenda bali pia vitu anavyotumia kama vile mkorogo, dawa za kutengeneza makalio vyote vina expire date zake ndio maana naye ameanza kuexpire. Kuna siku atakuwa hafai kabisa kwa matumizi ya binadamu. Na hali ngumu ya ukata nayo inamla taratibu hasa kule usoni.
Kwani ameumia lini?hayo hayo yale meupe
Na uzinzi pia unachosha mwili...hasa mwanamke ukiwa wa kubadilisha wanaume kila mwezi lazima uchoke haraka..waswahili waita KUJITUNZA,ukijumlisha na pombe anazokunywa + kufulia ndio kabisaaa,maana Wema sasa hivi amefulia sio mchezomiss chagga Siyo umri tu unaenda bali pia vitu anavyotumia kama vile mkorogo, dawa za kutengeneza makalio vyote vina expire date zake ndio maana naye ameanza kuexpire. Kuna siku atakuwa hafai kabisa kwa matumizi ya binadamu. Na hali ngumu ya ukata nayo inamla taratibu hasa kule usoni.
unanichosha ujue na maswali yako jua tu anatumia madawaKwani ameumia lini?
Wema familia bora, mtoto wa balozi huyu amekulia na kukaa nje ya nchi miaka kibao. Kwa hiyo lugha yake ya kwanza sio kiswahili bali Ngeli. So kwa hilo muacheni aneng'eneke na lugha yake ya kuzaliwa.Huyu si Mtanzania kabisa jamani au alishawahi ishi nje?
Mbona anaongea kama kiswahili kajifunzia ukubwani wakati kakua nacho jamani?
Yaani kuna watu wanajifanyaga Mungu alikosea kuwaweka Tz.
I hope she will soon come to her sense...umri unasogeajamani wema kachoka kweli umri unaenda
Anhaa sikujua. Kama kakaa nje kumbe. Basi sawa.Wema familia bora, mtoto wa balozi huyu amekulia na kukaa nje ya nchi miaka kibao. Kwa hiyo lugha yake ya kwanza sio kiswahili bali Ngeli. So kwa hilo muacheni aneng'eneke na lugha yake ya kuzaliwa.
Watoto wa mabalozi sio familia bora kama unavotaka tuamini, na kukulia nje ya nchi haimaanishi wewe Ni special kuliko wengine wako wengi wa namna Hiyo choka mbaya sijui kwa nini mnakua na notion ya namna Hiyo?Wema familia bora, mtoto wa balozi huyu amekulia na kukaa nje ya nchi miaka kibao. Kwa hiyo lugha yake ya kwanza sio kiswahili bali Ngeli. So kwa hilo muacheni aneng'eneke na lugha yake ya kuzaliwa.
Yaani hunishindi dooI hate this talking style, nyambafuuu....mzungu si mzungu,si mchina....eti kiswahili hajui vizuri......sauti mbayaaa
AnatishaaMadawa gani mkuu yale yanayotolewa bure hospitalini?