CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Mbona mimi nimetazama sijaona kitukama hicho
TBC wagome mara ngapi na namna gani ndipo ujue kuwa wameigomea CHADEMA? Kwa ujumla, kauli ya Kamanda Mbowe ni sahihi kabisa. Bravo Kamanda Mbowe!Sasa TBC wakigomea kutangaza habari za CHADEMA atamlilia nani sijui?
Mbona mimi nimetazama sijaona kitukama hicho
Amechemka sana. Kiongozi wa siasa lazima uwe mvumilivu na mwenye kuchagua maneno ya kuongea. Kitendo cha kukiita kituo cha habari cha taifa ''kipeperushi cha CCM'' kinaonyesha dhahiri kuwa mheshimiwa huyu hana busara wala uvumilivu wa kisiasa. Sasa TBC wakigomea kutangaza habari za CHADEMA atamlilia nani sijui? Watu wengine bwana.
Ni kituko kwa chama kinachojiita makini kuruhusu mwenyekiti msanii msanii kama huyu mbowe na hotuba ya ajabuajabu iliyorushwa leo kwenye hii jamii forum. Inawezekanaje chama kumlalamikia rais kikwete eti kwa nini aliamua kwenda kampala kuhudhuria usuluhishi wa kongo na kuacha kwenda kumzika mwangosi. Lakini chama hicho hicho kililazimisha kwenda kwenye msiba na kukutana na professor mark mwandosya ambaye ni waziri wa nchi ofisi ya rais. Kama chadema haaminiani ndo maana katibu wa chama anakwenda kufungua matawi vijijini tena kwa kulazimisha na kukataa kutii sheria pasipo shuruti. Halafu kamati inakaa kusikiliza porojo za kufungiwa mwanahalisi, ulimboka kutekwa nyara. Haya yoote kwa jamii ni historia. Watanzania tunamambo mengi ya kufanya kuliko haya ambayo chadema wanajidanganya kuwa ni matatizo. Inatia shaka kama hawana mkono kwenye hizi makala za mwanahalisi na migomo ya madaktari. Tunapata funzo gani kuhusu umakini wa hikichama?
Amechemka sana. Kiongozi wa siasa lazima uwe mvumilivu na mwenye kuchagua maneno ya kuongea. Kitendo cha kukiita kituo cha habari cha taifa ''kipeperushi cha CCM'' kinaonyesha dhahiri kuwa mheshimiwa huyu hana busara wala uvumilivu wa kisiasa. Sasa TBC wakigomea kutangaza habari za CHADEMA atamlilia nani sijui? Watu wengine bwana.
Ni kituko kwa chama kinachojiita makini kuruhusu mwenyekiti msanii msanii kama huyu mbowe na hotuba ya ajabuajabu iliyorushwa leo kwenye hii jamii forum. Inawezekanaje chama kumlalamikia rais kikwete eti kwa nini aliamua kwenda kampala kuhudhuria usuluhishi wa kongo na kuacha kwenda kumzika mwangosi. Lakini chama hicho hicho kililazimisha kwenda kwenye msiba na kukutana na professor mark mwandosya ambaye ni waziri wa nchi ofisi ya rais. Kama chadema haaminiani ndo maana katibu wa chama anakwenda kufungua matawi vijijini tena kwa kulazimisha na kukataa kutii sheria pasipo shuruti. Halafu kamati inakaa kusikiliza porojo za kufungiwa mwanahalisi, ulimboka kutekwa nyara. Haya yoote kwa jamii ni historia. Watanzania tunamambo mengi ya kufanya kuliko haya ambayo chadema wanajidanganya kuwa ni matatizo. Inatia shaka kama hawana mkono kwenye hizi makala za mwanahalisi na migomo ya madaktari. Tunapata funzo gani kuhusu umakini wa hikichama?
ni hotuba nzuri kwa kiongozi makini wa aina yake
Leo kwenye taarifa ya habari ya saa mbili usiku kupitia kituo cha luninga cha ITV nimemwona Kamanda Mbowe akieleza masuala mbalimbali yaliyojiri katika kikao cha dharura cha Kamati Kuu ya CHADEMA kilichofanyika UBUNGO PLAZA Jijini Dar es Salaam.
Ameongea mambo kadhaa lakini kilichonifurahisha ni namna
alivyoibatiza TBC na kuiita KIPEPERUSHI CHA CCM
Je, mnaonaje jina hilo si linapendeza sana?
Amechemka sana. Kiongozi wa siasa lazima uwe mvumilivu na mwenye kuchagua maneno ya kuongea. Kitendo cha kukiita kituo cha habari cha taifa ''kipeperushi cha CCM'' kinaonyesha dhahiri kuwa mheshimiwa huyu hana busara wala uvumilivu wa kisiasa. Sasa TBC wakigomea kutangaza habari za CHADEMA atamlilia nani sijui?
Hujui unachoongea wewe jamaa. Bila shaka Mheshimiwa Mbowe anaenelewa,and ofkoz its very obvious,TBC is biased. Fuatilia coverage ya habari za Chadema kwenye TV hiyo utaelewa. TBC walipaswa wasiwe na upande wowote katika Vyama vya siasa. Ile inaendeshwa kwa kodi zetu,bila kujali wewe ni gamba au gwanda.Amechemka sana. Kiongozi wa siasa lazima uwe mvumilivu na mwenye kuchagua maneno ya kuongea. Kitendo cha kukiita kituo cha habari cha taifa ''kipeperushi cha CCM'' kinaonyesha dhahiri kuwa mheshimiwa huyu hana busara wala uvumilivu wa kisiasa. Sasa TBC wakigomea kutangaza habari za CHADEMA atamlilia nani sijui? Watu wengine bwana.
Wewe ndio unaumwa kweli, na wewe pia mbona ni kipeperushi cha CCM. Kwani hao tbc wasipotangaza habari za CHADEMA ndio kitakufa? tena ndio kitapanda chat, kabla ya kuchangia uwe unafikiria kwa kutumia akili, lakini kwa kuwa nawe ni kipeperushi sikushangai. Toka lini ukaona tbc inatangaza mazuri ya chadema? na hicho ulichoita kituo cha habari cha taifa kina msaada gani kwa taifa? kuonyesha ccm tu? wanashindwa kuonyesha matukio muhimu ya hapa tz wanaonyesha upuuzi mtupu. kakoje ulale:bange::bange::bange:Amechemka sana. Kiongozi wa siasa lazima uwe mvumilivu na mwenye kuchagua maneno ya kuongea. Kitendo cha kukiita kituo cha habari cha taifa ''kipeperushi cha CCM'' kinaonyesha dhahiri kuwa mheshimiwa huyu hana busara wala uvumilivu wa kisiasa. Sasa TBC wakigomea kutangaza habari za CHADEMA atamlilia nani sijui? Watu wengine bwana.
Ni kituko kwa chama kinachojiita makini kuruhusu mwenyekiti msanii msanii kama huyu mbowe na hotuba ya ajabuajabu iliyorushwa leo kwenye hii jamii forum. Inawezekanaje chama kumlalamikia rais kikwete eti kwa nini aliamua kwenda kampala kuhudhuria usuluhishi wa kongo na kuacha kwenda kumzika mwangosi. Lakini chama hicho hicho kililazimisha kwenda kwenye msiba na kukutana na professor mark mwandosya ambaye ni waziri wa nchi ofisi ya rais. Kama chadema haaminiani ndo maana katibu wa chama anakwenda kufungua matawi vijijini tena kwa kulazimisha na kukataa kutii sheria pasipo shuruti. Halafu kamati inakaa kusikiliza porojo za kufungiwa mwanahalisi, ulimboka kutekwa nyara. Haya yoote kwa jamii ni historia. Watanzania tunamambo mengi ya kufanya kuliko haya ambayo chadema wanajidanganya kuwa ni matatizo. Inatia shaka kama hawana mkono kwenye hizi makala za mwanahalisi na migomo ya madaktari. Tunapata funzo gani kuhusu umakini wa hikichama?
Itakuwa safi sana wakiacha..sababu TBC mara nyingi watangazapo habari za CDM ni kuiponda, kukejeli na kujenga taswira hasi kwa wananchi kuhusu CDM.Amechemka sana. Kiongozi wa siasa lazima uwe mvumilivu na mwenye kuchagua maneno ya kuongea. Kitendo cha kukiita kituo cha habari cha taifa ''kipeperushi cha CCM'' kinaonyesha dhahiri kuwa mheshimiwa huyu hana busara wala uvumilivu wa kisiasa. Sasa TBC wakigomea kutangaza habari za CHADEMA atamlilia nani sijui? Watu wengine bwana.