Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Sikiliza/Angalia:..........Kwa hisani ya Hon. Zitto Kabwe
Ndo maana amekutumia wewe...atleast mshipa wake wa aibu bado haujakatika wote. Nimeshangaa na kusikitika sana baada ya kuyasikia maneno ya Nassari as compared na walichoandika Mwananchi....na Zitto kuwatetea kwamba ''hicho kilichoandiwka ndicho kilichosemwa''