Tatizo wabunge wengi wa CHADEMA hawajitambui
Mambo ya kujimegea na kujiona bora, juu zaidi ya wengine na kitu kingine chochote kile...U-MIMI!Hii mbona iko clear...Kwani Kigoma yuko Zitto peke yake? Anaweza akawa Kafulila, Zitto au Eng Chiza. Sasa hapa ndio unaweza kuupata ukweli wa gazeti la Mwananchi uko wapi.
Tatizo wabunge wengi wa CHADEMA hawajitambui