Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,822
- 59,428
Watanzania masikini ni kivutio kwa wageni ndio maana viongozi wakienda kuomba msaada wanapendeza sana, lakini wanasema wanaowawakilisha wana hali mbaya.😏Toka mwaka jana na mwaka uanze sijasoma bandiko lenye madini km hili.!!
Umeongea ukweli mtupu mkuu, hii nchi ukiifikiria sana unaweza kupata vidonda vya tumbo. Watawala wetu ni jau sana.
Huyo waziri ndio kaonyesha ujinga kabisaaa!!
Hivi mtu anaonyesha matatizo mliyonayo halafu bila aibu anasema anatangaza utalii!! Umaskini wa wananchi ss hivi umekuwa utalii kweli???