Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Kumbe <wandosya naye hafai? basi hakuna chema chawezatoka ccm, sasa nauliza hivii! kwa vile Mwandosya anaumwa si watakuwa wanamchakachua sana? mimi nafikiri ccm wakiachishwa madaraka asilimia kubwa hawatazidisha 4yrs watakuwa wamekufa kwa ngoma maana ni majasiri wa kupokezana vijiti.
Inamana uamsho unaohubiriwa na cdm haujafikiwa nao?
Funguka mtanzania