Deodat
JF-Expert Member
- Sep 18, 2008
- 1,274
- 272
@ HABARINI ZA MCHANA
VICKY KAMATA
Mageuzi usiniguse tumeolewa,na ccm,mme bora mtanashati
anayejua kazi,ninakupenda sana mageuzi,upinzan ,usinishike ,unashombo
JE WANTANZANIA MMEOLEWA NA CCM NA NI MME WENU
BORA !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Yaani watu waliopata nafasi kwa kutwangwa nao utawaona tu. Hata kauli zao zinaashiria kuchanua miguu kitandani tu! yaani matamshi yamekaa kama mtu aliyetayari kumegwa mda wowote na mtu aliyempa hiyo nafasi. Period!