Vichwa Hivi vya Azania Viliishia Wapi?

Namkumbuka mama DATH week ya kwanza tu alitupeleka lab na kutufundisha chemical apparatus ndani ya lab na kuwasha bunsen burner.

hatukupoteza week nyingine akaha kutufundisha with a particle aina za moto na namna ya kuizima nilijiona wa pekee kweli na mwalimu yule mpaka leo mambo yake na machungu yake kwetu kama unafeli unahisi kabisa mhindi yule ni mzalendo wa kweli
 
kaka god bless charles aliyupiga mihuli bandia mchea mpaka alijua sie chambo wa god mbona tulikoma, God nililuja kumuona anaongiza mgomo ni mtundu hata bro msiba wa mabibo tuition anamjua
 
Huyo jamaa Ramadhani(Monitor wa Class D) walikuwa wanamwita Dondola.
Nahisi kwa sababu ya kiuno chake kilivyo hususani akivaa suruali na mkanda.

Ila kuna jamaa fulani alikuwa anaitwa Mberwa Zahoro(naye alikuwa monitor class D) sijui yuko wapi? Kama maisha ya shule yatakua yamemshinda basi atakuwa sasa ni Tapeli.

Mbelwa was my mentor, mara ya mwisho kuonana nae (muda kidogo) alikuwa DIT tumepoteza mawasiliano. Rama Dondola, nimecheka sana nilivyokumbuka hilo jina, unamkumbuka Pemba Mnazi sikumbuki jina lake halisi...wewe lazma ulikua D tu
 
Mbelwa was my mentor, mara ya mwisho kuonana nae (muda kidogo) alikuwa DIT tumepoteza mawasiliano. Rama Dondola, nimecheka sana nilivyokumbuka hilo jina, unamkumbuka Pemba Mnazi sikumbuki jina lake halisi...wewe lazma ulikua D tu

Ina onekana tulio soma D tupo wengi sana humu
 
kaka god bless charles aliyupiga mihuli bandia mchea mpaka alijua sie chambo wa god mbona tulikoma, God nililuja kumuona anaongiza mgomo ni mtundu hata bro msiba wa mabibo tuition anamjua

Godbless ni daktari alisoma MUHAS, pia ni member humu jukwaani.

Huyu ndugu tuliskuli wote tangu darasa la kwanza kule Mabibo external (s/m Mabibo), na tuisheni tulisoma wote pale kwa Brother Musiba.

Naikumbuka sana hiyo issue ya mihuri bandia, baadaye waliamua kuibadili nembo ya shule kwa kuweka kaalama ka-tick (nike), lakini wadau wa lile gazeti la pale ubaoni (AZANIA NEWS MAGAZINE-ANM), tulilijia juu na kuipinga hatua hiyo kwa hoja mpaka ikaondolewa.

Wakati huo gazeti lilikuwa chini ya Mjawadu mustafa, Kajuna Nestory na bwana mmoja hivi alikuwa akiishi Kimara, bila kumsahau Dotto Athumani.
 
Wako wapi hawa Fresh Mutta, Tumaini Godwin (alikuwa anatokea polisi-kota kurasini), Omary Pilingu, Ahmed SHABANI (mzee wa Tandale), Abdul Kivugo, Kaduma Himid na Jaksoni Thomas (albino), Pascarates Emmanuel, Mishinga Fabian, RASHID Kaombe (wa DAZ NUNDAS), Kareka Malilo---Hii ilikuwa intake ya 1998.

Wakati huo academic alikuwepo mwl Charles na mwl Maleko.

Naikumbuka sana ile shurba waliokuwa wakiipata wale wenzetu waliokuwa wanatokea maeneo ya Mabibo, Mburahati walivyokuwa wakigombea ile DCM NICE EDWIN nyakati za jioni pale fire
 
@Quadrat Jr,

Chini ya Mjawadu mustafa, Kajuna Nestory na bwana mmoja hivi alikuwa akiishi Kimara, bila kumsahau Dotto Athumani.[/QUOTE]

haya majina ya mustafa na kajuna ni kama yalitokea mabibo vile.
 
Kuna yule dogo aliepata 7 azania akaenda kusomeshwa bure Mzizima akalewa sifa akaishia kunywa pombe hivi anaitwaje? Nishamsahau!!!!

Pia kuna jamaa alipata 9 akaenda mzizima akapiga 3 akaona ngoja aende oxford kusoma,wale jamaa wakamwambia huna sifa za kujiunga hapa kwanza Afrika nzima kuna nafasi mbili tu,nadhani ni dr muhimbili sasa!

Yule dogo aliyelosti na 7 yake anaitwa Andrew Ibrahim aka Wenzi, aliishia kufundisha Tuition magomeni na kugonga mademu tu.
Wenzake saizi twagonga bata tu duniani.
 
Mbelwa was my mentor, mara ya mwisho kuonana nae (muda kidogo) alikuwa DIT tumepoteza mawasiliano. Rama Dondola, nimecheka sana nilivyokumbuka hilo jina, unamkumbuka Pemba Mnazi sikumbuki jina lake halisi...wewe lazma ulikua D tu

hivi msilanga,odemba,leodegard,sukwa,melkiol,na yule mwalimu mwanafunzi alitekuwa ananpenda jesse MAHALU,
MWL MIchael wa kiswahili ameamishiwa kg
 
haya majina ya mustafa na kajuna ni kama yalitokea mabibo vile

Kajuna ndo alitokea Mabibo. Wengine waliokwenda Azania kutokea Mabibo ni John Mwangobola, Tadeo Mwangonera, Beni Brown, Godbless, Yeromini Mlacha, Timothy Kibakaya (CHA-DOG), Pascarates Emmanuel wengine nimewasahau mkuu!
 
Ni vya enzi za Kwayu hivyo - naam enzi za Mitimingi na Mchwampaka bila kumsahau Mama Semhando na Mwalimu Ramadhani

Enzi za akina Mwl. Mejja (Mchagga). Baadhi ya vichwa kama: Honest Mshobozi na Mwemsi sijawahi kukutanana navyo kamwe!
 
1. Omari Mtiga

2. Robert (jina la ubini nimelisahau - mweupe mrefu)

3. Ulimboka Stephen (kawa kiongozi wa mgomo wa madokta!)

>Mwalimu Songoro wa BK a.k. makabati.
>Daladala la Shela Beach ubungo posta mwanafunzi wa Azaboy ata usipokuwa na nauli unaenda school na kurudi.
>Tuition kwa Emmi
>Kuna teacher alikuwa anafundisha hesabu ngumu pale magomeni white anaitwa Marco
>Ukikutana na kwayu kama umetoroka unaelekea maeneo ya tuition zilipo au unaenda kununua vifaa vya shule unasamewa apo apo.
>Kuna headmaster msaidiz tulikuwa tuna muita Robot sijui siku iz yupo wapi?


Kweli mmetukumbusha mbali.
 
Umeonah enhee,Tazama Mbal Zaid.....!!!wap Headmaster Kaaya na Mama kihula.Umenikumbusha Gal Guide Hostel ndo ulikua mpango mzma kuuza sura Town na Upanga yote.

Na huku tena!
Nilikuwa pale kwa intake ya 2002-2004.

Mama Kaihula kwa sasa ni mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom