King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,685
- 68,671
Hatuzungumzii alipwe laki 8 au mlio ,walipwe kama serikali ilivyoelekeza ,utamlipaje mtu Tsh 3000 per day? Kama ni rahisi aajiri wanae kina yusuph waje kubeba magunia wapakize kwenye scania.SAS unataka mtu Eti kupkia na kupanga unga kwnye lorry ulipwe laki nane Kweli yaani uje asbuhi ushike nyuzi na kupanga unga ndio ulipwe milion kweli 😃😎 ujira Ni mzuri Ila angalau kima Cha chini kifike 350 at least