Viashiria vya kuwa na IQ ndogo

digodigo

JF-Expert Member
Dec 2, 2010
256
178
Kama tunavyofahamu IQ ni Kipimo ambacho hutumika kupima uwezo alionao mtu au uelewa katika kutatua matatizo yanayomzunguka au kukabiliana hasa kwa kutumia akili za ziada na kwa ufanisi yaani (assessment of human intelligence )
Kiwango hiki cha akili kinaonyeshwa na uwiano wa

1. Umri wa akili ( dhana inayohusiana na akili inavyoonekana jinsi mtu fulani katika umri fulani hufanya jambo fulani kiakili)

2. Umri wa kihistoria.(umri binafsi wa kiekronolojia). Vipimo vya IQ hutumiwa mara nyingi kwa kuamua mambo ya intelegensia, waombaji wa kazi, waombaji wa jeshi nk.

Mtihani wa IQ kwa ujumla unasimamiwa na Mwanasaikolojia na maeneo ya jumla ambayo mtihani wa IQ unaweza kuchunguza ni:

1. Analogies (mathematical and verbal)---Analogia (kufumbua maswali yanayohusiana na hesabu pasipo kuandika)

2. Pattern driven (spatial and mathematical)-Maswali ya kimuundo

3. Classification-Uainishaji

4. Visual-Ya kuona

5. Spatial-Ya nafasi

6. Logical-Ya Kimantiki

Sintopenda sana niingie deep kwenye historia ya IQ test ilianzishwa na nani na aina zake lakini kimsingi mambo muhimu ya kuzingatia kwenye suala hili ni faida ya kufahamu umuhimu wa IQ test na nafasi uliyopo wewe kama wewe na nchi kama nchi. kwa maelezo zaidi unaweza kuingia kwenye Wikipedia.

1599126073007.png


Top African Countries with Highest IQ – 2020

CountryRankAverage IQ
Sierra Leone191
Mauritius289
Seychelles386
Eritrea485
Morocco584
Nigeria584
Uganda584
Algeria683
Libya683
Tunisia683
Madagascar782
Zimbabwe782
Egypt881
Kenya980
Zambia1079

TOP 10 PEOPLE HAVE HIGHEST IQ SCORES IN THE WORLD
1. William James Sidis – IQ score: 250 – 300
2. Terence Tao – IQ score: 225 – 230
3. Christopher Hirata – IQ score: 225
4. Kim Ung Yong – IQ score: 210
5. Garry Kasparov – IQ score: 194
6. Marilyn Vos Savant – IQ score: 190
7. Leonardo da Vinci – IQ score: 180 – 190
8. Judit Polgar – IQ score: 170
9. Albert Einstein – IQ score: 160 – 190
10. Stephen Hawking – IQ score: 160


Nafasi nchi iliyopo ndio kioo cha maendeleo iliyonayo kwani vigezo vimezingatia idadi ya watu waliopata Nobel prizes, Ubora wa elimu na mfumo mzima wa elimu itolewayo na hata performance yaani matokeo katika vyuo mbalimbali.

Je, Tanzania tunakwama wapi?
Je, ni wanasiasa ndio wanatukwamisha? Kwani hivi sasa hata mwanasayansi anakimbilia siasa?

Tuna uhuru wa karibia miaka 60 lakini huwezi jilinganisha na nchi nilizotaja hapo juu,miaka 60 ni umri tosha kabisa kufanya mambo ya ajabu ya kimaendeleo ukizingatia ukubwa wa nchi na resouces mbalimbali tulizo nazo, Korea Kusini inakadiriwa kuwa na watu idadi ya 51,000,000 na eneo la 100,363 km2 Wakati Tz ina eneo la 947,303 km2 idadi ya watu karibia milioni 60.

Korea GDP (PPP) 2020 estimate ni dola 2.418 trillioni,Per capita dola 46,451 Wakati TZ GDP (PPP) Total dola 186,060 billioni na per capita dola 3,574

Nafikiri kuna haja ya kuchunguza vigezo nilivyotaja hapo na kuvifanyia mabadiliko la sivyo siku zote tutashuhudia nchi za wenzetu zikiendelea na kufanya mambo makubwa huku sisi tukiendelea kulialia na siasa. Wenzetu wanapigania nini waifanyie nchi yao sisi nani chama chake kiendelee kutawala na kula peke yake hata kama ni milele,

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Mmh sijui maisha binafsi ya nchi ya Zimbabwe ila kama nayo imo kwenye wenye highest IQ na hata Uganda imo.Basi kipimo cha IQ siyo uwezo wa kumudu maisha!!
 
Watu wenye IQ kubwa Tanzania wapo wengi tatizo lipo kwenye mfumo wa elim na siasa zetu.

#mfumo wa elimu yetu unatuandaa kukariri vitu ajili ya ufaulu na tuwe watumwa wa ajira bt wenzetu wanaami kusoma ni kuelimika pia wanajua akili ni bora kuliko elim ndo maana wanapoelimika wanazitumia akili zao katika kuendeleza elim mpya.

#mfumo wa siasa zetu umejenga matabaka ya uadui yanayotufanya tusiwe wamoja hata kwenye mambo ya kitaifa, yaani dhana ya upinzani tumeichukulia kama uadui badala ya ushindani wa kihoja ajili ya kulinga taifa.

In short mfumo wa siasa zetu si rafiki na tunapaswa kuubadili mapema kabla haujatuletea madhara.
 
Propaganda za mabeberu hizi, lengo lao ni kuwafanya waafrika wajione wajinga na mbumbumbu zaidi duniani. Ni upumbavu mtupu.
 
Propaganda za mabeberu hizi, lengo lao ni kuwafanya waafrika wajione wajinga na mbumbumbu zaidi duniani. Ni upumbavu mtupu.
Mara nyingi mimi nakuwa makini sana kutotumia neno mabeberu.

Kwenye habari ya IQ, wasomi wa Saikolojia na masuala ya ubongo unavyofanya kazi, ukikaa nao na kuanza kuongea habari za IQ kama namba, unaonekana unahitaji kujielimisha zaidi.

Kwa sababu, wataalamu bado wanabishana what is intelligence?

Sasa kama intelligence tu kui define ni tabu utaipimaje?

Ukisoma kitabu cha Jared Diamond "Guns,Germs and Steel: The Fate of Human Societies" kilichoshinda nishani ya Pulitzer, kuna sura muandishi amechambua sana ujinga wa habari nzima ya kupima IQ ya mtu wa misituni huko Papua New Guinea kwa kutumia vigezo vya Mmarekani wa New York City.

Akasema ukimchukua huyo Mmarekani wa New York City ukampeleka kwenye mazingira ya porini huko Papua New Guinea, na yeye ataonekana ana IQ ndogo ya kuishi msituni na kuwinda huko.

Kwa hiyo, katika hili la IQ, sijui kama ni propaganda maalum au ni mabaki ya mifumo ya kikoloni, lakini ni habari potofu ambazo wasomi wa saikolojia wanaziponda.

Kuna dada mmoja nilikuwa namsaidia kufanya Ph.D level degree ya Saikolojia (Psy.D), nilikuwa nazungumza naye sana kuhusu IQ, alikuwa anaiponda sana. Kwa kunipa articles za journals za wasomi kwenye suala hili.
 
Kama tunavyofahamu IQ ni Kipimo ambacho hutumika kupima uwezo alionao mtu au uelewa katika kutatua matatizo yanayomzunguka au kukabiliana hasa kwa kutumia akili za ziada na kwa ufanisi yaani (assessment of human intelligence )
Kiwango hiki cha akili kinaonyeshwa na uwiano wa

1. Umri wa akili ( dhana inayohusiana na akili inavyoonekana jinsi mtu fulani katika umri fulani hufanya jambo fulani kiakili)

2. Umri wa kihistoria.(umri binafsi wa kiekronolojia). Vipimo vya IQ hutumiwa mara nyingi kwa kuamua mambo ya intelegensia, waombaji wa kazi, waombaji wa jeshi nk.

Mtihani wa IQ kwa ujumla unasimamiwa na Mwanasaikolojia na maeneo ya jumla ambayo mtihani wa IQ unaweza kuchunguza ni:

1. Analogies (mathematical and verbal)---Analogia (kufumbua maswali yanayohusiana na hesabu pasipo kuandika)

2. Pattern driven (spatial and mathematical)-Maswali ya kimuundo

3. Classification-Uainishaji

4. Visual-Ya kuona

5. Spatial-Ya nafasi

6. Logical-Ya Kimantiki

Sintopenda sana niingie deep kwenye historia ya IQ test ilianzishwa na nani na aina zake lakini kimsingi mambo muhimu ya kuzingatia kwenye suala hili ni faida ya kufahamu umuhimu wa IQ test na nafasi uliyopo wewe kama wewe na nchi kama nchi. kwa maelezo zaidi unaweza kuingia kwenye Wikipedia.

View attachment 1557376

Top African Countries with Highest IQ – 2020

CountryRankAverage IQ
Sierra Leone191
Mauritius289
Seychelles386
Eritrea485
Morocco584
Nigeria584
Uganda584
Algeria683
Libya683
Tunisia683
Madagascar782
Zimbabwe782
Egypt881
Kenya980
Zambia1079

TOP 10 PEOPLE HAVE HIGHEST IQ SCORES IN THE WORLD
1. William James Sidis – IQ score: 250 – 300
2. Terence Tao – IQ score: 225 – 230
3. Christopher Hirata – IQ score: 225
4. Kim Ung Yong – IQ score: 210
5. Garry Kasparov – IQ score: 194
6. Marilyn Vos Savant – IQ score: 190
7. Leonardo da Vinci – IQ score: 180 – 190
8. Judit Polgar – IQ score: 170
9. Albert Einstein – IQ score: 160 – 190
10. Stephen Hawking – IQ score: 160


Nafasi nchi iliyopo ndio kioo cha maendeleo iliyonayo kwani vigezo vimezingatia idadi ya watu waliopata Nobel prizes, Ubora wa elimu na mfumo mzima wa elimu itolewayo na hata performance yaani matokeo katika vyuo mbalimbali.

Je, Tanzania tunakwama wapi?
Je, ni wanasiasa ndio wanatukwamisha? Kwani hivi sasa hata mwanasayansi anakimbilia siasa?

Tuna uhuru wa karibia miaka 60 lakini huwezi jilinganisha na nchi nilizotaja hapo juu,miaka 60 ni umri tosha kabisa kufanya mambo ya ajabu ya kimaendeleo ukizingatia ukubwa wa nchi na resouces mbalimbali tulizo nazo, Korea Kusini inakadiriwa kuwa na watu idadi ya 51,000,000 na eneo la 100,363 km2 Wakati Tz ina eneo la 947,303 km2 idadi ya watu karibia milioni 60.

Korea GDP (PPP) 2020 estimate ni dola 2.418 trillioni,Per capita dola 46,451 Wakati TZ GDP (PPP) Total dola 186,060 billioni na per capita dola 3,574

Nafikiri kuna haja ya kuchunguza vigezo nilivyotaja hapo na kuvifanyia mabadiliko la sivyo siku zote tutashuhudia nchi za wenzetu zikiendelea na kufanya mambo makubwa huku sisi tukiendelea kulialia na siasa. Wenzetu wanapigania nini waifanyie nchi yao sisi nani chama chake kiendelee kutawala na kula peke yake hata kama ni milele,

TAFAKARI CHUKUA HATUA
CHRISTOPHER MICHAEL LANGAN????
 
Mara nyingi mimi nakuwa makini sana kutotumia neno mabeberu.

Kwenye habari ya IQ, wasomi wa Saikolojia na masuala ya ubongo unavyofanya kazi, ukikaa nao na kuanza kuongea habari za IQ kama namba, unaonekana unahitaji kujielimisha zaidi.

Kwa sababu, wataalamu bado wanabishana what is intelligence?

Sasa kama intelligence tu kui define ni tabu utaipimaje?

Ukisoma kitabu cha Jared Diamond "Guns,Germs and Steel: The Fate of Human Societies" kilichoshinda nishani ya Pulitzer, kuna sura muandishi amechambua sana ujinga wa habari nzima ya kupima IQ ya mtu wa misituni huko Papua New Guinea kwa kutumia vigezo vya Mmarekani wa New York City.

Akasema ukimchukua huyo Mmarekani wa New York City ukampeleka kwenye mazingira ya porini huko Papua New Guinea, na yeye ataonekana ana IQ ndogo ya kuishi msituni na kuwinda huko.

Kwa hiyo, katika hili la IQ, sijui kama ni propaganda maalum au ni mabaki ya mifumo ya kikoloni, lakini ni habari potofu ambazo wasomi wa saikolojia wanaziponda.

Kuna dada mmoja nilikuwa namsaidia kufanya Ph.D level degree ya Saikolojia (Psy.D), nilikuwa nazungumza naye sana kuhusu IQ, alikuwa anaiponda sana. Kwa kunipa articles za journals za wasomi kwenye suala hili.
Duu umesema yoote tena vema.
Hiv unanipima uwezo wa kujibu maswali ya kusikia/kuzungumza je kama ninashida ya masikio? Au nina haibu au siyo muongeaj mzuri.Yote sawa unaweza kumpima mmoja mmoja,lakin kutafuta IQ y a wanataifa flan wote mmh kuna walakini!!
 
Kama tunavyofahamu IQ ni Kipimo ambacho hutumika kupima uwezo alionao mtu au uelewa katika kutatua matatizo yanayomzunguka au kukabiliana hasa kwa kutumia akili za ziada na kwa ufanisi yaani (assessment of human intelligence )
Kiwango hiki cha akili kinaonyeshwa na uwiano wa

1. Umri wa akili ( dhana inayohusiana na akili inavyoonekana jinsi mtu fulani katika umri fulani hufanya jambo fulani kiakili)

2. Umri wa kihistoria.(umri binafsi wa kiekronolojia). Vipimo vya IQ hutumiwa mara nyingi kwa kuamua mambo ya intelegensia, waombaji wa kazi, waombaji wa jeshi nk.

Mtihani wa IQ kwa ujumla unasimamiwa na Mwanasaikolojia na maeneo ya jumla ambayo mtihani wa IQ unaweza kuchunguza ni:

1. Analogies (mathematical and verbal)---Analogia (kufumbua maswali yanayohusiana na hesabu pasipo kuandika)

2. Pattern driven (spatial and mathematical)-Maswali ya kimuundo

3. Classification-Uainishaji

4. Visual-Ya kuona

5. Spatial-Ya nafasi

6. Logical-Ya Kimantiki

Sintopenda sana niingie deep kwenye historia ya IQ test ilianzishwa na nani na aina zake lakini kimsingi mambo muhimu ya kuzingatia kwenye suala hili ni faida ya kufahamu umuhimu wa IQ test na nafasi uliyopo wewe kama wewe na nchi kama nchi. kwa maelezo zaidi unaweza kuingia kwenye Wikipedia.

View attachment 1557376

Top African Countries with Highest IQ – 2020

CountryRankAverage IQ
Sierra Leone191
Mauritius289
Seychelles386
Eritrea485
Morocco584
Nigeria584
Uganda584
Algeria683
Libya683
Tunisia683
Madagascar782
Zimbabwe782
Egypt881
Kenya980
Zambia1079

TOP 10 PEOPLE HAVE HIGHEST IQ SCORES IN THE WORLD
1. William James Sidis – IQ score: 250 – 300
2. Terence Tao – IQ score: 225 – 230
3. Christopher Hirata – IQ score: 225
4. Kim Ung Yong – IQ score: 210
5. Garry Kasparov – IQ score: 194
6. Marilyn Vos Savant – IQ score: 190
7. Leonardo da Vinci – IQ score: 180 – 190
8. Judit Polgar – IQ score: 170
9. Albert Einstein – IQ score: 160 – 190
10. Stephen Hawking – IQ score: 160


Nafasi nchi iliyopo ndio kioo cha maendeleo iliyonayo kwani vigezo vimezingatia idadi ya watu waliopata Nobel prizes, Ubora wa elimu na mfumo mzima wa elimu itolewayo na hata performance yaani matokeo katika vyuo mbalimbali.

Je, Tanzania tunakwama wapi?
Je, ni wanasiasa ndio wanatukwamisha? Kwani hivi sasa hata mwanasayansi anakimbilia siasa?

Tuna uhuru wa karibia miaka 60 lakini huwezi jilinganisha na nchi nilizotaja hapo juu,miaka 60 ni umri tosha kabisa kufanya mambo ya ajabu ya kimaendeleo ukizingatia ukubwa wa nchi na resouces mbalimbali tulizo nazo, Korea Kusini inakadiriwa kuwa na watu idadi ya 51,000,000 na eneo la 100,363 km2 Wakati Tz ina eneo la 947,303 km2 idadi ya watu karibia milioni 60.

Korea GDP (PPP) 2020 estimate ni dola 2.418 trillioni,Per capita dola 46,451 Wakati TZ GDP (PPP) Total dola 186,060 billioni na per capita dola 3,574

Nafikiri kuna haja ya kuchunguza vigezo nilivyotaja hapo na kuvifanyia mabadiliko la sivyo siku zote tutashuhudia nchi za wenzetu zikiendelea na kufanya mambo makubwa huku sisi tukiendelea kulialia na siasa. Wenzetu wanapigania nini waifanyie nchi yao sisi nani chama chake kiendelee kutawala na kula peke yake hata kama ni milele,

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Tanzania inatabia ya kukubali mwenye kukubalika aliye yoyote kuanzia mwanasiasa,tajiri,msanii na kazalika.kukuongoza kwa akili zake.

Unakuta mtu hana IQ kubwa lakini IQ inatawaliwa na mjinga fulani kwa kuwa ndio kasimama mbele yake.

Mfano tunao hata kipindi ichi cha uchaguzi.mtu hana ongea uchumi wakati hata uchumi ajawahi kufanyia kazi
 
Pata picha Tanzania walichukua sample ya mpoki...zimwi Domo la mamba...Odongo....baba lebeto...maneno kumi.... Ringo....kipupupwe ..lazima tuwe hatupo ata kwenye 1000 Bora ya nchi zenye watu wenye IQ kubwa
 
Akasema ukimchukua huyo Mmarekani wa New York City ukampeleka kwenye mazingira ya porini huko Papua New Guinea, na yeye ataonekana ana IQ ndogo ya kuishi msituni na kuwinda huko.

Really?

I happen to believe that almost everything in life has a learning curve. Whether steep or otherwise.

So I’d have to give that Gothamite some time to acclimatize him/herself before rendering any judgement.

Huyo M-New Yorker anaweza kwenda huko PNG na akabuni mbinu bora zaidi za kukabiliana na mazingira ya huko kuliko hata hao wazawa wa PNG.

Ikitokea hivyo, hapo suala la IQ litazungumziwaje?

New Yorker kaenda PNG. Mwanzoni akapata tabu kutokana na upya wa mazingira.

Lakini baada ya muda fulani, kwa kutumia akili zake, akaja ni mbinu bora zaidi za kukabiliana na mazingira hayo mapya!

Mimi siyo muumini sana wa IQ. Lakini naamini katika uwezo wa watu kubuni mbinu za kuboresha maisha yao kulingana mazingira waliyopo.

Hivyo, kama mtu ni mwerevu, popote pale utapomuweka, baada ya muda si mrefu ataweza kuyatawala mazingira hayo mapya.
 
Kama tunavyofahamu IQ ni Kipimo ambacho hutumika kupima uwezo alionao mtu au uelewa katika kutatua matatizo yanayomzunguka au kukabiliana hasa kwa kutumia akili za ziada na kwa ufanisi yaani (assessment of human intelligence )
Kiwango hiki cha akili kinaonyeshwa na uwiano wa

1. Umri wa akili ( dhana inayohusiana na akili inavyoonekana jinsi mtu fulani katika umri fulani hufanya jambo fulani kiakili)

2. Umri wa kihistoria.(umri binafsi wa kiekronolojia). Vipimo vya IQ hutumiwa mara nyingi kwa kuamua mambo ya intelegensia, waombaji wa kazi, waombaji wa jeshi nk.

Mtihani wa IQ kwa ujumla unasimamiwa na Mwanasaikolojia na maeneo ya jumla ambayo mtihani wa IQ unaweza kuchunguza ni:

1. Analogies (mathematical and verbal)---Analogia (kufumbua maswali yanayohusiana na hesabu pasipo kuandika)

2. Pattern driven (spatial and mathematical)-Maswali ya kimuundo

3. Classification-Uainishaji

4. Visual-Ya kuona

5. Spatial-Ya nafasi

6. Logical-Ya Kimantiki

Sintopenda sana niingie deep kwenye historia ya IQ test ilianzishwa na nani na aina zake lakini kimsingi mambo muhimu ya kuzingatia kwenye suala hili ni faida ya kufahamu umuhimu wa IQ test na nafasi uliyopo wewe kama wewe na nchi kama nchi. kwa maelezo zaidi unaweza kuingia kwenye Wikipedia.

View attachment 1557376

Top African Countries with Highest IQ – 2020

CountryRankAverage IQ
Sierra Leone191
Mauritius289
Seychelles386
Eritrea485
Morocco584
Nigeria584
Uganda584
Algeria683
Libya683
Tunisia683
Madagascar782
Zimbabwe782
Egypt881
Kenya980
Zambia1079

TOP 10 PEOPLE HAVE HIGHEST IQ SCORES IN THE WORLD
1. William James Sidis – IQ score: 250 – 300
2. Terence Tao – IQ score: 225 – 230
3. Christopher Hirata – IQ score: 225
4. Kim Ung Yong – IQ score: 210
5. Garry Kasparov – IQ score: 194
6. Marilyn Vos Savant – IQ score: 190
7. Leonardo da Vinci – IQ score: 180 – 190
8. Judit Polgar – IQ score: 170
9. Albert Einstein – IQ score: 160 – 190
10. Stephen Hawking – IQ score: 160


Nafasi nchi iliyopo ndio kioo cha maendeleo iliyonayo kwani vigezo vimezingatia idadi ya watu waliopata Nobel prizes, Ubora wa elimu na mfumo mzima wa elimu itolewayo na hata performance yaani matokeo katika vyuo mbalimbali.

Je, Tanzania tunakwama wapi?
Je, ni wanasiasa ndio wanatukwamisha? Kwani hivi sasa hata mwanasayansi anakimbilia siasa?

Tuna uhuru wa karibia miaka 60 lakini huwezi jilinganisha na nchi nilizotaja hapo juu,miaka 60 ni umri tosha kabisa kufanya mambo ya ajabu ya kimaendeleo ukizingatia ukubwa wa nchi na resouces mbalimbali tulizo nazo, Korea Kusini inakadiriwa kuwa na watu idadi ya 51,000,000 na eneo la 100,363 km2 Wakati Tz ina eneo la 947,303 km2 idadi ya watu karibia milioni 60.

Korea GDP (PPP) 2020 estimate ni dola 2.418 trillioni,Per capita dola 46,451 Wakati TZ GDP (PPP) Total dola 186,060 billioni na per capita dola 3,574

Nafikiri kuna haja ya kuchunguza vigezo nilivyotaja hapo na kuvifanyia mabadiliko la sivyo siku zote tutashuhudia nchi za wenzetu zikiendelea na kufanya mambo makubwa huku sisi tukiendelea kulialia na siasa. Wenzetu wanapigania nini waifanyie nchi yao sisi nani chama chake kiendelee kutawala na kula peke yake hata kama ni milele,

TAFAKARI CHUKUA HATUA
John Pombe Magufuli IQ 0.0000001- 0.1
Nyani ngabu IQ 0.000

Wasukima mna bahati mbaya kwenye eneo hili
 
Really?

I happen to believe that almost everything in life has a learning curve. Whether steep or otherwise.

So I’d have to give that Gothamite some time to acclimatize him/herself before rendering any judgement.

Huyo M-New Yorker anaweza kwenda huko PNG na akabuni mbinu bora zaidi za kukabiliana na mazingira ya huko kuliko hata hao wazawa wa PNG.

Ikitokea hivyo, hapo suala la IQ litazungumziwaje?

New Yorker kaenda PNG. Mwanzoni akapata tabu kutokana na upya wa mazingira.

Lakini baada ya muda fulani, kwa kutumia akili zake, akaja ni mbinu bora zaidi za kukabiliana na mazingira hayo mapya!

Mimi siyo muumini sana wa IQ. Lakini naamini katika uwezo wa watu kubuni mbinu za kuboresha maisha yao kulingana mazingira waliyopo.

Hivyo, kama mtu ni mwerevu, popote pale utapomuweka, baada ya muda si mrefu ataweza kuyatawala mazingira hayo mapya.
One might say, if everything in life has a learning curve, the entire IQ concept goes out the window. IQ is overblown, we are all subjected to learning.

You could retort that one with a lower IQ may have a lingwr learning curve.

Which is a fair point.

But have you seen the way IQ is tested?

Who designed these IQ tests?

What bias do they have?

How could we claim to have a universal intelligence Quotient, if, even the definition of intelligence is illusory?

Was Mobutu intelligent or not?

He ruled a country of millions for decades, over 31 years. So, just the drama of keeping everyone in their place depicts some sort of skill. But what did he do? Is what he did the mark of intelligence?

Does the fact that the Papua New Guinean fails to put the right squares and other geometrical figures together depict unintelligence?

Whwre is the IQ test that is based on hunting in the jungles of Borneo?

What if someone is super intelligent and has understood all the shit that life is, and the inevitability of death, and is bored with it all, and just doesn't give a flying fuss over whether he is depicted to be intelligent or not? How will you be certain of his intelligence?

What about Grigori Perelman. The man cracked Poincare's Conjecture, a mathematical problem that had no solutiin for over a century.

After cracking Poincare's Conjecture, he was recognized and offered a hefty prize sum for that. He declined it all, the fame, the award, the money. He chose to kive a quiet life in his midest St. Petersburg apartment.

Is Grigori Perelman among the most intelligent people living? Did his suoer intelligence cause him to see the ruse of the rat race and reject it? Or is he a fool?

How many other intelligent people would be judged to be not intelligent simply because they chose to say " this modern life is a shitty rat race, I don't want any part of it. I want to be a simple farmer in a quiet corner" ?

What is intelligence?
 
John Pombe Magufuli IQ 0.0000001- 0.1
Nyani ngabu IQ 0.000

Wasukima mna bahati mbaya kwenye eneo hili
Magufuli must be trending negatively.

Usitutukane Wasukuma wote.

Kuna kina Paul "Kishamapanda" Bomani na Justice Francis Nyalali, wamelitumikia vizuri sana taifa hili.
 
Back
Top Bottom