Aisee!!! This is true that family wamepata mapacha sita sasa walivyokuwa wakizungumzia story yao ilikuwa inagusa kila mtu, lol finest and family
Mkuu hongera sana na pole sanaHongera zao jamani, raha kuona lakini kulea kasheshe! Nina mapacha, kwa sasa wana miaka 3, nikikumbuka kufa sikufa ila cha moto nilikioana. Hapo ndo mama mfanyakazi, ilikuwa kidogo nifukuzwe kazi! Leo huyu akiumwa hiki, kesho huyu anaumwa hiki! Usiku akianza mmoja kulia mwenzake (anaamka hata kama alikuwa amelala na) kumsaidia kulia. Yaani usiku hakuna kulala. Inabidi uwe na supporting husband, mnagawana watoto, mmoja Kurwa mwingine Doto. Mkorofi zaidi ambaye anakataa watu ndiyo anakuwa kwa mama.
Lakini mbona wamewapiga picha uchi wakati wazazi wamevaa nguo?? Haki za watoto ziko wapi hapa!
Nipo hapa njoo tugawaneEnhee!Ngoja nitafute mtu wa kugawana nae hizo baraka!
Hehehehe japo nakupenda ila Fynest na Lizzy sio kompatibo kwenye kusababisha dozen...itatoka nyeusi sana!Nipo hapa njoo tugawane
Ahaa ahaa NYEUSI dawa ya roho banaa.Hehehehe japo nakupenda ila Fynest na Lizzy sio kompatibo kwenye kusababisha dozen...itatoka nyeusi sana!
Wangu na wako sawa!Ila wangu na wako pamoja utatisha!Hehehe!Ahaa ahaa NYEUSI dawa ya roho banaa.
"waacheni watoto wadogo wote waje kwangu, maana ufalme wa cpu ni wao"
YegoMasika u are right umesahau ile honeymoon ya lasvegas waliyopewaWal-Mart imewapa kama $250,000 kwa ajili ya gharama za diaper na vikolombezo vingine.
Sisy i would love if u have sextuplets nitakuwa nakusaidia l.o.lmmmmmhhhhh......mi wish you that.....enjoy your weekend my brother!!!!
View attachment 23959
I love this picture of the family which had sextuplets, "By the end of the day, Rozonno and Mia change 36 diapers, prepare 24 bottles, and dish out 12 bowls of cereals.
Nimejiuliza swali 36 diapers in a day? Si mchezo
Hautaki tuwe na sextupletsMungu awajalie makuzi mema
Hautaki tuwe na sextuplets
Jiandae basiI will be very happy my love!! njoo sasa tuanze kuwatafuta :decision::decision: