Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 199
bora hawa jamaa wanatumia email ya yahoo,
ni kweli watapokea maombi yatakayotumwa kwa email? mana nimeona hapo chini kwenye tangazo lao masharti ya jumla,maombi yaandikwe kwa MKONO na YATUMWE KWA
MKURUGENZI WA WILAYA
S.L.P 23
LIWALE
sasa ukituma kwa email si watakuambia hatujaona application yako?