Kidudu Mtu
Member
- Nov 7, 2009
- 64
- 0
Utasikia mtu anasema "mwanamke yule mzuri" lakini unaweza usiuone huo uzuri anaousifia. Hivi uzuri wa mwanamke ni nini? Vigezo vipi mwanamke awe navyo ili wengi wamuone mzuri?
...lakini unaweza usiuone huo uzuri anaousifia....
...
...na ambao umejificha moyoni. (utapomjua/fahamu au kumuelewa), i.e tabia, maadili, etc
...tafsiri yake unatofautiana baina ya mtu na mtu kutokana na malezi, makuzi na uzoefu baina ya mtu na mtu. Kitachokuwa kizuri kwangu sio lazima kifanane na uzuri utaouona wewe.
...Uzuri upo wa aina mbili, ...unaoonekana kwa nje (ambao unaonekana kwa wataovutiwa naye) i.e Sura nzuri, Umbile zuri, etc.
...na ambao umejificha moyoni. (utapomjua/fahamu au kumuelewa), i.e tabia, maadili, etc
Karibu sana mpwa Mosquito tumekumiss kweli kweli karibu mwana mpotevu.
Naona mlikuwa njia moja na Nyani Ngabu nae karejea.
Kwangu uzuri wa mwanamke ni al-batar
...Shukran ndugu yangu, tupo pamoja!
Acha uongo,sura na maumbile kwanza vingine vyafuatia!!tabia, usafi, heshima, upendo, utii. sura au maumbile yanafuata baadae!
Uzuri wa mtu ni subjective, inategemea na mtu anayeona huo uzuri. ndo maana utakuta mtu anamsifia mwanamke/ mwanaume fulani wakati wewe hata huoni huo uzuri anaousifia. so, inategemea unapenda nini katika mwili wa unayemuona mzuri.
Uzuri wa mwanamke ni macho ya anayemtizama,sio kitu kingine chochote wala tusijidangaye!!!
NimekubaliBlack is beuty.