Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Karibu sana mpwa Mosquito tumekumiss kweli kweli karibu mwana mpotevu.
Naona mlikuwa njia moja na Nyani Ngabu nae karejea.
Kwangu uzuri wa mwanamke ni al-batar
Naona ni mfuko wake
............Hahahah ila kuna ukweli nadhani uzuri wa mwanaume pesa, maana utakuta binti mzuri anatoka na mwanaume mhhhhhhh wala siongei.........maana mwanaume akiwa na pesa atapata tu msichana mzuri.
Ila mie uzuri wa mwanaume sura,umbo, urefu kiasi ,tabia nzuri na financially awe stable.........lol
....na pia upstairs awe na akili sio debe shinda.....lol
Utasikia mtu anasema "mwanamke yule mzuri" lakini unaweza usiuone huo uzuri anaousifia. Hivi uzuri wa mwanamke ni nini? Vigezo vipi mwanamke awe navyo ili wengi wamuone mzuri?
............Hahahah ila kuna ukweli nadhani uzuri wa mwanaume pesa, maana utakuta binti mzuri anatoka na mwanaume mhhhhhhh wala siongei.........maana mwanaume akiwa na pesa atapata tu msichana mzuri.
Ila mie uzuri wa mwanaume sura,umbo, urefu kiasi ,tabia nzuri na financially awe stable.........lol
Uzuri wa mwanamke ni tabia sio sura ..
Baada ya hapo kila mtu ana uzuri wake wa asili ..mwingine ana macho mazuri ,nywele ,masikio ,pua,midomo au hata anatembea vizuri ,wengine watasema colour yake ina mvuto.
Lakini kinachobeba yote ni tabia yake
Ni PM tuongee vizuri!............
Ila mie uzuri wa mwanaume sura,umbo, urefu kiasi ,tabia nzuri na financially awe stable.........lol