Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
kwa vile bado nauzunguka mkoa huu wa Kagera kila nionapo kitu kizuri lazima nikilete kwenu. Kwa sasa pale maeneo ya Bukoba mjini kwenye Round about karibia na Rugambwa Memorial house al maarufu kama West End Rodge Imetengenezwa Artificial banana plant na kuwekwa katikati ya mji. Kwa kweli inapendeza hebu iangalieni. Mkija desemba MTAFURAHI WENYEWE.
Hebu cheki mji unavyopendeza kwa sasa. Na hapo chini vipi
Wazee wa Mulebe nao hawakubaki nyuma, wanatengeneza vitu vya asili hivyoooo, loh we acha tu jamani ni nomaaaa. Hebu angalia hapo chini
Na hii ngoma ya kule Nshamba unaikumbuka? Huyu jamaa anaitwa Stephen Selestine Tibaigana
Vitu asilia vinaendeleaaaaaaaaaaaaa
Unaicheki hiyo kofia. Ekolize "Ebyai" Yaani imetengenezwa kwa magamba ya migomba.
Kama kawaida ndizi haziwezi kukosa hapo.
Sasa tunaelekea Kemondo kisha turudi Kiroyera Beach. Wazungu nao waiingia eti.
Unawakumbuka wapiga mziki wetu. Akina Focus, Moto pamba, Majura sound, JVC, Turbo, One Way ilikuwa balaa enzi hizo. Hadi sasa Focus yumo.
Unaikumbuka hiii. Ngoma unapiga mwenyewe na kuimba juuu. Saida Karoli alianza hivihivi.
Hapo jamaa wa kikundi cha vijana wa TADEPA kutoka KATERERO ANAFANYA MAMBO akiwaambia wananchi kuwa Ukimwi na TB bado vipo wajihadhari.
Waheshimiwa wa TADEPA, wananchi wote, wanacheki ngoma na kutafakari meseji hizo hebu cheki nyuso zao.
Watoto nao wanakula lecture, yaani baada ya miaka michache wako ulingoni. Hata Tibaigana (Afande) na Tibaijuka
(Prof), Azaveli Rwaitama, Baregu, Mkandara, walitokea viwanja vya dizaini hiii.
Sasa huyu Afisa naye anayarudi, anaunga mkono hua. Wenzake wanamchekiiiiiiiiii, tehteheteheteheteeee.... Mussa Mohammed.
SASA TUNAELEKEA KIROYERA WAKATI WA JIONI/USIKU
Sasa hapo ndo Mhaya wa Ihangilo anacheza ngoma hiyo, na huyo Afisa pembeni, sasa ndugu zangu Wahaya wa ulaya, i mean wazungu wakaingilia kati. Bukoba bana, we acha tu.
Mzungu anaposhangaaa kiduku ya Kihaya..... maweeeeee chonka jamani basi tu.
Wadau naishia hapa kwanza. Najua Kamaradarie ataongeza vingine.
Hebu cheki mji unavyopendeza kwa sasa. Na hapo chini vipi
Wazee wa Mulebe nao hawakubaki nyuma, wanatengeneza vitu vya asili hivyoooo, loh we acha tu jamani ni nomaaaa. Hebu angalia hapo chini
Na hii ngoma ya kule Nshamba unaikumbuka? Huyu jamaa anaitwa Stephen Selestine Tibaigana
Vitu asilia vinaendeleaaaaaaaaaaaaa
Unaicheki hiyo kofia. Ekolize "Ebyai" Yaani imetengenezwa kwa magamba ya migomba.
Kama kawaida ndizi haziwezi kukosa hapo.
Sasa tunaelekea Kemondo kisha turudi Kiroyera Beach. Wazungu nao waiingia eti.
Unawakumbuka wapiga mziki wetu. Akina Focus, Moto pamba, Majura sound, JVC, Turbo, One Way ilikuwa balaa enzi hizo. Hadi sasa Focus yumo.
Unaikumbuka hiii. Ngoma unapiga mwenyewe na kuimba juuu. Saida Karoli alianza hivihivi.
Hapo jamaa wa kikundi cha vijana wa TADEPA kutoka KATERERO ANAFANYA MAMBO akiwaambia wananchi kuwa Ukimwi na TB bado vipo wajihadhari.
Waheshimiwa wa TADEPA, wananchi wote, wanacheki ngoma na kutafakari meseji hizo hebu cheki nyuso zao.
Watoto nao wanakula lecture, yaani baada ya miaka michache wako ulingoni. Hata Tibaigana (Afande) na Tibaijuka
(Prof), Azaveli Rwaitama, Baregu, Mkandara, walitokea viwanja vya dizaini hiii.
Sasa huyu Afisa naye anayarudi, anaunga mkono hua. Wenzake wanamchekiiiiiiiiii, tehteheteheteheteeee.... Mussa Mohammed.
SASA TUNAELEKEA KIROYERA WAKATI WA JIONI/USIKU
Sasa hapo ndo Mhaya wa Ihangilo anacheza ngoma hiyo, na huyo Afisa pembeni, sasa ndugu zangu Wahaya wa ulaya, i mean wazungu wakaingilia kati. Bukoba bana, we acha tu.
Mzungu anaposhangaaa kiduku ya Kihaya..... maweeeeee chonka jamani basi tu.
Wadau naishia hapa kwanza. Najua Kamaradarie ataongeza vingine.