Mtu Mzima
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 394
- 124
Mimi ni mteja wa benki inayotoa card za Tembo card VISA na Master Card.
Nimekuwa mteja wa benki hiyo kwa kipindi kirefu tangu enzi hizo tukiwa tunatumia tembo card ya kawaida.
Baada ya wateja wote kulazimishwa kuwa na tembo card ya VISA au MASTERCARD mimi pia nilibadilisha na kupata Tembocard Visa.
Baada ya kusoma matangazo kwenye tovuti yao kuhusu matumizi ya kadi hizo mpya nikavutiwa kutumia huduma hasa ya online shopping.
Huduma nyingine za kuvutia zilizoorodheshwa ni hizi.
TemboCardMasterCard
Features
With TemboCardMasterCard you can have access to your account 24 hours a day whenever and wherever.
Withdraw cash at more than 1 million ATMs globally
Make purchase at more than 30 million merchants where MasterCard is accepted
Pay recurring bills
Shop world wide
You can track your expenses as your CRDB Bank account will have the list of all purchases made including date, time spent and name of a merchant.
TemboCardVisa
TemboCardVisa provides instant and safe access to your bank account from any place and at any time. TemboCardVisa is secured by the VISA Electron assurance and is globally accepted as a mode of paying electronically through any VISA affiliated merchant outlet or VISA affiliated ATM worldwide.
Features and Benefits
Free TemboCardVisa
Pay for your purchases conveniently using TemboCardVisa
Pay for online shopping and transactions
Worldwide acceptance
Matumizi mengine lukuki yapo:
TemboCard
Baada ya kuvutiwa na huduma hizo nilkwenda benki nikajisajili ili niweze kupata huduma hizo hasa ya online shopping.
Kwa mshangao bado nikawa siwezi kutumia kadi. Baada ya kufuatilia benki nikaambiwa jibu ambalo sikutegemea kupata.
Jibu lilikuwa kwamba: Kadi yako pamoja na kuwa ina alama ya visa electron ni tembo card ya kawaida, haiwezi kutumika kwa shughuli niliyoomba.
Nikashauriwa nibadilishiwe kadi.
Pale benki nikaambiwa kadi nzuri itakayonifaa ni Tembocard master card.
Mwezi mmoja baada ya kupewa kadi yangu ya Tembocard Master card nikaenda tena kuisajili kwa ajili ya online shopping.
Siku mbili baadae nilipofuatilia nikaambiwa hizo kadi za Mastercard bado hazijaanza kutumika kwa ajili hiyo kwa hiyo siwezi kutumia kwa matumizi ninyoomba.
Kuna mambo mawili hapa.
Moja ni kwamba nimekuwa nikilipa Tsh 6,000 kwa mwaka kama ada ya kuwa na Tembo card Visa kwa takriban miaka 4 wakati kadi yangu ni (Sham au feki visa)
Pili kwa maoni yangu naona walistahili kuwambia wateja ukweli kuhusu hizi kadi zao za Master card. Ingawa nina wasiwasi pia hata hizo za visa.
Hayo ndio yaliyonikuta.
Nimeona ni vema ku-share ili msije mkashtuka mambo haya yatakapowakuta.
Yawezekana wapo wengi wanaotembea na tembo card za kawaida wakidhani ni visa au mastercard.
Naomba kuwasilisha.
Nimekuwa mteja wa benki hiyo kwa kipindi kirefu tangu enzi hizo tukiwa tunatumia tembo card ya kawaida.
Baada ya wateja wote kulazimishwa kuwa na tembo card ya VISA au MASTERCARD mimi pia nilibadilisha na kupata Tembocard Visa.
Baada ya kusoma matangazo kwenye tovuti yao kuhusu matumizi ya kadi hizo mpya nikavutiwa kutumia huduma hasa ya online shopping.
Huduma nyingine za kuvutia zilizoorodheshwa ni hizi.
TemboCardMasterCard
Features
With TemboCardMasterCard you can have access to your account 24 hours a day whenever and wherever.
Withdraw cash at more than 1 million ATMs globally
Make purchase at more than 30 million merchants where MasterCard is accepted
Pay recurring bills
Shop world wide
You can track your expenses as your CRDB Bank account will have the list of all purchases made including date, time spent and name of a merchant.
TemboCardVisa
TemboCardVisa provides instant and safe access to your bank account from any place and at any time. TemboCardVisa is secured by the VISA Electron assurance and is globally accepted as a mode of paying electronically through any VISA affiliated merchant outlet or VISA affiliated ATM worldwide.
Features and Benefits
Free TemboCardVisa
Pay for your purchases conveniently using TemboCardVisa
Pay for online shopping and transactions
Worldwide acceptance
Matumizi mengine lukuki yapo:
TemboCard
Baada ya kuvutiwa na huduma hizo nilkwenda benki nikajisajili ili niweze kupata huduma hizo hasa ya online shopping.
Kwa mshangao bado nikawa siwezi kutumia kadi. Baada ya kufuatilia benki nikaambiwa jibu ambalo sikutegemea kupata.
Jibu lilikuwa kwamba: Kadi yako pamoja na kuwa ina alama ya visa electron ni tembo card ya kawaida, haiwezi kutumika kwa shughuli niliyoomba.
Nikashauriwa nibadilishiwe kadi.
Pale benki nikaambiwa kadi nzuri itakayonifaa ni Tembocard master card.
Mwezi mmoja baada ya kupewa kadi yangu ya Tembocard Master card nikaenda tena kuisajili kwa ajili ya online shopping.
Siku mbili baadae nilipofuatilia nikaambiwa hizo kadi za Mastercard bado hazijaanza kutumika kwa ajili hiyo kwa hiyo siwezi kutumia kwa matumizi ninyoomba.
Kuna mambo mawili hapa.
Moja ni kwamba nimekuwa nikilipa Tsh 6,000 kwa mwaka kama ada ya kuwa na Tembo card Visa kwa takriban miaka 4 wakati kadi yangu ni (Sham au feki visa)
Pili kwa maoni yangu naona walistahili kuwambia wateja ukweli kuhusu hizi kadi zao za Master card. Ingawa nina wasiwasi pia hata hizo za visa.
Hayo ndio yaliyonikuta.
Nimeona ni vema ku-share ili msije mkashtuka mambo haya yatakapowakuta.
Yawezekana wapo wengi wanaotembea na tembo card za kawaida wakidhani ni visa au mastercard.
Naomba kuwasilisha.